Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Foolish, so they are having symposia in Nairobi na watu wanakufa njaa turkana
Idiocy on steroids.., exposing your illiteracy on matters socio-economics! Ignorance itauwa watanzania, taja wangapi wamekufa kwa sasa?.., nyambaff, wivu itakunyonga, vumilia Kenya sio size yenyu licha ya changamoto, falamanga😂
 
Hizi hadithi za vijiweni zinakupa orgasms Man Useless?..,
Baadaye ukajiliwaze na kosi la dunia
Screenshot_20210914-185831.jpg
 
Idiocy on steroids.., exposing your illiteracy on matters socio-economics! Ignorance itauwa watanzania, taja wangapi wamekufa kwa sasa?.., nyambaff, wivu itakunyonga, vumilia Kenya sio size yenyu licha ya changamoto, falamanga

Available evidence say millions
IMG_1957.png
 
Unapata tabu! So magorofa hayako UpperHill? Parklands? Ngara? Mombasa road? Ngong Road? Nairobi sio Dar.., CBD moja.., Tanzania nchi ya city moja.., Dar mji wa CBD moja..,
According to Kenyan standards hii ni CBD ila kwa Tz hatuiti CBD
JamiiForums591883702.jpg
JamiiForums-1104282568.jpg
 
Unapata tabu! So magorofa hayako UpperHill? Parklands? Ngara? Mombasa road? Ngong Road? Nairobi sio Dar.., CBD moja.., Tanzania nchi ya city moja.., Dar mji wa CBD moja..,
Huko kwengine ni ghorofa moja moja, pia usisahau Kenya hakuna concrete jungle like in Dar
 
MY bad kumbe mzanzibari mwenzie, angekua Magufuli kaweka mtu wa hivyo wangesema sukuma gang wale kinashangazi

Yapi hajatoa rushwa kulobby tenda sababu anataka kuipendezesha Tanzania sana bali wapo kibiashara zaidi sababu hawajengi bure matokeo yake kwenye mazingira kama haya sababu wametoa unbeatable offer ni kwamba sehemu ambapo kitaalam ni mifuko 20 ya cement watataweka 7

Kituo ambacho design na mahitaji ni 10k sqm watafanya 5k sqm, mfanyakazi alitakiwa alipwe 2 million per month na safety atalipwa 600k miguu peku hii yote ni kupunguza gharama ili kucatchup na unbeatable price na kujipatia faida kubwa zaidi

Matokeo yake minimum lifespan ya mradi ilitakiwa kuwa miaka 100 inaenda kuwa miaka 40, yote hii ni kuweka vilaza kwenye nafasi wasizostahili!

Pale matumbo yanapochukua nafasi ya akili, tutaona mengi!
Unajua kwenye haya mambo inabidi usiwe na team nani wala team nani..inabidi uweke bias pembeni..Hatujui kama yapi wametoa rushwa au la..ila ndo waliofanya kazi kipindi cha Magu..na hadi magu alifurahia..why do you think watavurunda this time??

Do you think kwamba kuna vitu magufuli was doing wrong and maybe mwingine anaweza patia au you just have one sided bias??

I think Kila kiongozi kuna vitu anakosea ..vingi tu ..but kwenye hili la yapi kupata tender we are all not sure ..plus ingekuwa tender yake ya kwanza maybe tungesema hvyo
 
Unajua kwenye haya mambo inabidi usiwe na team nani wala team nani..inabidi uweke bias pembeni..Hatujui kama yapi wametoa rushwa au la..ila ndo waliofanya kazi kipindi cha Magu..na hadi magu alifurahia..why do you think watavurunda this time??

Do you think kwamba kuna vitu magufuli was doing wrong and maybe mwingine anaweza patia au you just have one sided bias??

I think Kila kiongozi kuna vitu anakosea ..vingi tu ..but kwenye hili la yapi kupata tender we are all not sure ..plus ingekuwa tender yake ya kwanza maybe tungesema hvyo
Hili jambo la yapi kuna mtu kalizungumzia vzr kule kwenye cost comparison nahisi ule unaweza kuwa ni ukweli.
 
What empirical evidence(s) do you have to substantiate your claim that the negotiations of LNG was the reason?
cause madam President gave a dadeline on that aside rural electrification that the progress is in a sorrow state!
 
Back
Top Bottom