Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

cause madam President gave a dadeline on that aside rural electrification that the progress is in a sorrow state!

kwenye rural electrification usiongee usichokijua.. everything is in good state
pia kwenye hio LNG you mean unamforce mwezekaji muelewani kwa kila kitu unachotaka na yeye anachotaka ndan ya miezi sita? what if mwekezaji kajipa mwaka mzima?
 
kwenye rural electrification usiongee usichokijua.. everything is in good state
pia kwenye hio LNG you mean unamforce mwezekaji muelewani kwa kila kitu unachotaka na yeye anachotaka ndan ya miezi sita? what if mwekezaji kajipa mwaka mzima?
kelele bungeni kwenye budget ya nishati huwa zinakua kwenye lipi? Au unajitoa ufahamu? Na Mchuchuma na Liganga?
 
wacha nikuache na unavyoamini
Good maana mimi na wewe tukibishana ni kupoteza muda unataka kuniaminisha kaonewa na wizara ya nishati si mradi wa JNHPP pekee kuna miradi chungu nzima kuanzia makaa ya mawe (hamna makubaliano na waliopewa vitalui vya uchimbaji), gesi (kinyerezi II haijaisha) na pia vyanzo vingine (jua, joto ardhi n.k.)
 
🇰🇪 🔥 🔥 🔥
Screenshot_20210914_073343.jpg

Screenshot_20210914_073316.jpg
 
nimekuacha si kwa sababu nimekubaliana na hio post ulioleta.. probably hujui uhalisia.. afu husemi katumbuliwa sababu gani.. mara unarukia hili mara hili jingine... you mean he was worst in all those projects?
FYI, kwenye REA, believe it.. he was the best one kufatilia miradi ya REA..
kinyerezi II haijaisha nn na mim nipo huko???????
ukipewa dadeline unapaswa kutoa mrejesho!

Angalia jinsi suala la mafuta linavyoenda Uganda, gas yetu lazma ianze kuchimbwa ili Mtwara na Lindi kuwekezwe petrochemical companies
 
Back
Top Bottom