Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

.

Screenshot_20210913-180221_Instagram.jpg
 
Ndio maana huwa wanashangaa tunaanza route ya SGR Dar Moro mahesabu wanapiga kulinganisha na kwao. Sisi huku tunasafiri sana kila siku.
Ukitaka kujua Moro pako busy nenda kuanzia ijumaa hotel, lodge kama ujafanya booking mapema unaweza kosa pa kulala. Nadhani kuna watu wanaendaga kupumzika wikiend moro
 
Unatetea ujinga. It's obvious hakuna ujenzi unaendelea hapo, that road is in use and that's why you can see the daladalas, bicycles and pikipiki using it.
You are such a dumb person most times...and still exposing your dumbness...so without any prove unaumua kukataa that road is not U/C?..while it is . nyie mnafungaga all lanes za zamani kukiwa na ujenzi sio
 
Unatetea ujinga. It's obvious hakuna ujenzi unaendelea hapo, that road is in use and that's why you can see the daladalas, bicycles and pikipiki using it.
We jamaa kwa kulazimisha usiyoyajua haujambo duh, uwe hata na aibu sasa.. ujuaji wa vipi huo wako.? Hapo Pana ujenzi wa BRT phase two unaendelea, DSM hakuna high way iliyoisha ujenzi alafu ikawa chafu hivyo.. nimekwambia andaa nauli, Accomodation ntakulipia mimi uje utoe tongo tongo
 
From day one, nilisema huyu Maza ni boya baadhi ya watu walinitusi.

Sasa Maza kalithibitisha hadharani, kipindi chote cha miezi 6 alikua anajifunza.🤣🤣

Miaka 5 aliyokua VP alikua anafanya nini?

Maza ni boya. Pia, chaguo la Stergomena Tax kuwa Waziri wa ulinzi lina ukakasi.

Uliachia ni mzawa wa Tanzania akichanganya mzazi Mtanzania na mgeni, pia nasikia kazaa ama kaolewa na kiongozi wa Rwanda.

Kama ni kweli, anapewaje wizara nyeti ya ulinzi?


 
From day one, nilisema huyu Maza ni boya baadhi ya watu walinitusi.

Sasa Maza kalithibitisha hadharani, kipindi chote cha miezi 6 alikua anajifunza.

Miaka 5 aliyokua VP alikua anafanya nini?

Maza ni boya. Pia, chaguo la Stergomena Tax kuwa Waziri wa ulinzi lina ukakasi.

Uliachia ni mzawa wa Tanzania akichanganya mzazi Mtanzania na mgeni, pia nasikia kazaa ama kaolewa na kiongozi wa Rwanda.

Kama ni kweli, anapewaje wizara nyeti ya ulinzi?


Chuki zako ni bure!!
Haitakusaidia kitu ndugu.

Meza wembe bro....
 
Kwa huu ubishi uyu ni 2kimo (dwarf).



👆🏽👆🏽👆🏽 we 2kimo join hiyo link ujione vitu vingine vipya kutokwa kwa Abood bus service.

Huyu abood kweli ana jeuri, anazidi kuleta vyuma vipya wakati mwaka huu huu sgr dar moro inaanza 🤔

Hii inadhihirisha namna Tanzania tunasafiri sana, route ya Dar Moro ina abiria wengi kuliko jumla ya abiria wote wa Kenya kwa siku nchi nzima!
 
Back
Top Bottom