Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
Ndio kilichomuondoa waziri?[emoji102] single source tender to Yapi Merkez for Lot 3&4
View attachment 1936714
View attachment 1936715
View attachment 1936716
View attachment 1936717
Halafu Mbona Majaliwa alikua anaipigia chapuo sana Yapi kiasi kwamba kila akitembelea site (nafikiri hakuna kiongozi alie tembelea sgr mara nyingi kama yeye) alikua akisema lazima vipande vinavyobaki Yapi wapewe
Ilikua inanishangaza sana sababu utaratibu wa kutoa tenda unajulikana ni wa ushindani lakini majaliwa alikua anarudiarudia nimemkariri zaidi ya mara 4 akisema hivyo!
Anyways hii nchi saivi wala sina shughuli nayo iende iendavyo!