Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Update: The 1.03 km new Selander alias Tanzanite bridge 83.5% done and counting...
rm1LXeV.jpg



MXwvKWo.jpg



hMBfa4O.jpg


Source
Hawa jamaa kasi sio mchezo . Kweli wakorea wapo vizuri
 
mbona povu jingi billionaire wetu? haipendez bana.. this is too low from you.

anyway, in CAF competition this coming season, Tanzania are represented by six football clubs (Simba, Yanga, Azam, Biashara United... KMKM & Mafunzo, both Zanzibar League)
while kenya has only 2 disorganized and poor clubs representatives (Girl Maria na wale wengine nimesahau jina)
Girl Maria😂😂😂🤣🤣🤣

Umetisha!🤣
 
Mpumbavu sana Kikwete!

Wazungu hutoa nafasi za hovyo hovyo kwa Waafrica, hasa Waafrica wajinga wapenda sifa za kijinga.

Nini alichofanya Tanzania kwa ufanisi lama Rais? Wanampa nafasi hizi kwakua wanajua ni BOYA na ni daraja la wizi wa lasilimali zetu nchini.
Jamaa hata hajistukiii, kwani hakuna viongozi damu changa?

Jamaa hovyo sana
 
Sorry, we deal with updated data 😂😂. Again Knight Frank is not the only body authorized to release wealth data. There's Forbes, there's world wealth, there's swiss bank. Even cRDB can do wealth report in your country. Sasa itabidi ukubali the current one juu hi inatambulika saa hii 😂😂😂.

Kenya $12,000
Rwanda $4,000
Tanzania $3000.

Are you aware that according to this report only 0.6% of tanzanians are worth $10,000 and above?😂😂

Hujui unachoongea. Nenda nje kacheze na wenzako.
 
Mpumbavu sana Kikwete!

Wazungu hutoa nafasi za hovyo hovyo kwa Waafrica, hasa Waafrica wajinga wapenda sifa za kijinga.

Nini alichofanya Tanzania kwa ufanisi lama Rais? Wanampa nafasi hizi kwakua wanajua ni BOYA na ni daraja la wizi wa lasilimali zetu nchini.
Babako ndo mwerevu?
 
Timu zao zikishindwa kufanya vizuri anadai ati "hayo mashindano sio ya kimataifa"

Nishawaambia humu tofauti ya mkunya na kondoo ni harufu tu.
Yaani hapa umemaanisha Mkunya ananuka vp? 🙆‍♂️ 🤷‍♂️ 😅
 
Back
Top Bottom