Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wew kilaza .. hio ndo governing body ya mpira wa miguu Africa nzima.. hakuna competition ya football kwetu itafanyika bila kibali cha CAF.. wew kama hauitambui.. Egypt, Nigeria na other African states zinaitambuq
More than 98% of Africans hawajui CAF ni nini 😂😂
 
sasa hio WC kama CAF hawakutambui.. huwezi kushiriki WC!
Mkuu usijisumbue na huyu bungazeze Bwana Mapesa a.k.a maskini wa kibera, jamaa angekuwa na pesa huyu Wakenya wangemkoma, hapo ndio hakana pesa angalia kadomo kake kalivyo karefu
 
sasa hio WC kama CAF hawakutambui.. huwezi kushiriki WC!
Hako kalishawahi kusema hawaitaji BRT Kenya, kwamba BRT ndio uchafu gn, leo serikali ya kipumbavu imejenga vituo viwili vya mfano wa BRT ya 70s kanakuja na picha kutulingishia cc wazoefu wa BRT system in EA, kajinga sn hako kajaluo
 
Kajaluo kanasema hakaitambui CAF ila kanaitambua FIFA, sasa utawezaje kushiriki tournament za FIFA pasipo kupitia CAF, yn ni sawa uingie ndani pasipo kupitia mlangoni, haka kajaluo bhn
 
Kajaluo kanasema hakaitambui CAF ila kanaitambua FIFA, sasa utawezaje kushiriki tournament za FIFA pasipo kupitia CAF, yn ni sawa uingie ndani pasipo kupitia mlangoni, haka kajaluo bhn
Unaogopa hata kuniquote🤣😂🤣🤣
 
anasema CAF ndo uchafu gan wakat timu zao za taifa na clubs zinashiriki kwenye competition za CAF.. na wakitoka hata draw wanawatukana kweli wachezaji wao.. wanafika sehem wanaambia mbona wenzao wa Tanzania wako vizur
Timu zao zikishindwa kufanya vizuri anadai ati "hayo mashindano sio ya kimataifa"

Nishawaambia humu tofauti ya mkunya na kondoo ni harufu tu.
 
Haya usiku mwema Bwana Mapesa a.ka kajaluo
Nyinyi ngojeni tournament ya uchawi maybe mtashinda huko🤣🤣😂😂

gsi-chp4-3.png
 
Back
Top Bottom