nguvusimba
JF-Expert Member
- Feb 17, 2020
- 1,127
- 1,839
president kenyatta ametangaza baa la njaa kenya ahahahahaha, wazee wa GDP isiyo wasaidia, tukiwaambia wanaonufaika na uchumi wa kunyalandi ni wachache sana hawaamini wanamsubiri Masihi aje kuwaambia. Kenya economy is not inclusive!

