Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sasa kama ni ukweli, mbona knyatta katangaza baa la njaa? hahahaha

nyie
wasije wakasema ni ya zamani.. it’s September 8,2021 to remember!
IMG_1489.jpg


 
Juzi nilifanikiwa kupita hii mitaa nikapata upepo wa bahari kidogo, yo bandugu hii mitaa ni mizuri mno, barabara zinawaka waka
IMG_20210906_154853_667.jpg
👇New Tanzanite bridge,
IMG_20210906_154848_085.jpg
it's almost done ✅ nilikuta wanatengeneza side walks, soon tutawaumiza vichwa hawa mbwa.. nyie hapa mahali ni panawaka waka sio kawaida, barabara zinawaka mno
 
Back
Top Bottom