Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tja
Mbn hamuiti 3level, Kenya wababaishaji sn
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png

Sijui mnatoa wapi ujasiri wa kulinganisha.
You angry my nigga 😁 don't be
 
Kwa nini kutumia lugha ya kukera hvyo kwa mtz mwenzako? Yeye ametoa opinion yake tu ambayo nayo siyo mbaya lakini namna unavyomjibu siyo kiungwana. Kwani ungetoa hiyo opinion yako bila kumtukana The best 007 kungekuwa na tatizo. SIO POA HIVYO. KAMA NI POVU TEMA KWA HAWA WAKUNYA.
Hehehehee mkuu huyu mzee Gezaulole nilishajua jinsi ya kuishi naye hanisumbui, yuko deep sn ila anapoleta habari zake za ajabu ajabu tunampiga misumari kama kawaida
 
Saivi sina hata imani na huu mradi tena watuu wanapaa na ndege kwenda kutalii mbuga za wanyama eti wanadai wanataka kutangaza vivutio vya bongo
Magufuli alishakufa, kuna kitu alitaka kukifanya kuhusu ATCL and believe me ingekuwa one of the best Airlines in Afrika lkn Mwenyezi Mungu ana siri nyingi sana, ukitaka kujua JPM was a real deal angalia the way serikali ya awamu ya sita jinsi inavyotembelea nyota yake, hakuna jipya la mana hata moja zaidi ya tozo za kisengesenge zisizokuwa na kichwa wala miguu.
 
safi sana!.., kazi bado iko., if u make second round maybe mpewe a weak team., the way nime watch big teams.., weeh!

tulia, sisi ndo wataalam.. uwanja wa nyumban hatoki mtu.. tukiingia hio hatua nyingine.. ni kuhakikisha tunafunga magoli mengi home ili aggregation itubebe .. na ninaomba tuanzie ugenini kwa draw au goals difference ndogo afu game ya mwisho ndo iwe nyumban.. ili hasira za kuwafunga ziwe nyingi
 
Mimi tangu nazaliwa ni CCM yn nakiamini hiki chama kwasababu ya mwl. Nyerere yani cku zote huwa siwezi kumsaliti huyu mzee hata iweje cz I believe ni one among the most true leaders in the world, lkn cwez kuwa CCM mpumbavu eti niunge mkono usenge usenge tu, kwnz principle zng ni kwamba cc wananchi hatupaswi kuwa na chama ila tunapaswa kuwa wafuasi wa maendeleo.

Nilimpenda JPM co kwasababu ya mapenzi bali kwa kumpima na kugundua kwamba analitakia mema hili taifa, kabla ya hapo ckuwa naamini kama angeweza kuhimili vishindo na ndiyo maana hakupata kura yng 2015 lkn baadaye nikagundua nilifanya kosa kubwa, but wkt nkipambana huyu mzee aendelee kubaki japo kwa miaka kadhaa akafa, for sure niliumia sana mpk saivi navyoandika bado namuwaza mno na kumuota kabisa, but hawa wapuuzi wauza sura watatuharibia hii nchi na kuturudisha kule tulipotoka.
 
Back
Top Bottom