Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Habari za kusikitisha ni kwamba vijana wa bongo sana sana Dar wamelegea sana sababu ya kupenda mihogo, kiepe yai na kitimoto kila mara, sio asubuhi, chamcha hadi chajio. Vipi wakulungwa, msiwe hivyo!😁😁😁
We unaota wee? Ingekua hivyo Diamond na Ali Kiba wasingewazalisha warembo wenu. Huda nae akaja kujibebisha apewe hogo la Diamond. Na yule mwingine anaitwa nani vile, aliedai hajawahi kugongwa vizuri kwenye maisha yake mpaka alivyoktana na vijana wa bongo. Yaan ni wengi hadi majina yananitoka
 
wewe peleka upumbavu baada ya kupewa NMC factories zote na Mwinyi kwa ubini wa Uzanzibari na pamoja na Abood kupewa viwanda vya Morogoro unataka wepewe mbona usiseme BRT iingie DSE kila mtu aweze annunue shares hata mwenye Tshs 1 mln? Ukiwa na akili zilizozubaa bwana! kwako wewe Bakhresa Mungu sio?
Kwa nini kutumia lugha ya kukera hvyo kwa mtz mwenzako? Yeye ametoa opinion yake tu ambayo nayo siyo mbaya lakini namna unavyomjibu siyo kiungwana. Kwani ungetoa hiyo opinion yako bila kumtukana The best 007 kungekuwa na tatizo. SIO POA HIVYO. KAMA NI POVU TEMA KWA HAWA WAKUNYA.
 
huu mradi mim mbona naona wakidhibiti ukusanyaji wa nauli au wa mapato kiujumla kazi itakuwa imeisha .. hata hao private sector wakipewa na wakishindwa kudhibiti mapato watafeli pia.. mim naona nguvu nying ielekezwe kwenye udhibiti ukusanyaji wa nauli na mapato mengine .. then hapo tutajua mahesabu vizur kuhusu real revenues vs expenditures
System zipo, hapo solution ni kumrudisha Max Malipo aliumudu kikamilifu. Kama unaona feri pia ilikua kazi ya MaxMalipo
 
Nahisi aliangalia title akaibeba akachanganya na mawazo yake yaliyokosa shule akaweka humu

Mlipa Kodi anapewa Account ya TRA ya kwenye Bank yake.
Mfano wewe ni mlipa kodi na una Account CRDB utapewa Account ya TRA ya CRDB , hivyo hivyo kulingana na wenye account bank zingine.

Yeye kalibeba akijua KCB imeiteka TRA .
 
Kwa nini kutumia lugha ya kukera hvyo kwa mtz mwenzako? Yeye ametoa opinion yake tu ambayo nayo siyo mbaya lakini namna unavyomjibu siyo kiungwana. Kwani ungetoa hiyo opinion yako bila kumtukana The best 007 kungekuwa na tatizo. SIO POA HIVYO. KAMA NI POVU TEMA KWA HAWA WAKUNYA.
Upo sahihi kabisa, huyu mwamba kwenye hili anakosea sana, tunamvumilia tu kwakua tunamheshimu ila anavyofanya sio poa
 
Kilombero Morogoro 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

images (86).jpeg
images (87).jpeg
images (88).jpeg
images (91).jpeg
images (89).jpeg
images (94).jpeg
images (93).jpeg
images (92).jpeg
images (95).jpeg
 
Kwa nini kutumia lugha ya kukera hvyo kwa mtz mwenzako? Yeye ametoa opinion yake tu ambayo nayo siyo mbaya lakini namna unavyomjibu siyo kiungwana. Kwani ungetoa hiyo opinion yako bila kumtukana The best 007 kungekuwa na tatizo. SIO POA HIVYO. KAMA NI POVU TEMA KWA HAWA WAKUNYA.
mwenyewe hajalalamika wewe kimbelembele! Eboo kaa pembeni! kwahiyo nawewe una-support Bakhresa apewe BRT?
 
Hivi unajua Tz inahela ..za kutosha..tungekuwa hatu invest kwenye ATC tungekuwa tushamaliza reli..au tushatangaza tenda kote hizo Airbus 2 cost yake ni kama 400billion tsh

Sorry hio ni price ya 2018 ya 91mil usd

According to mutiple site wanasema bei imeshuka hadi 41.8 mil usd kwa moja ..so kama ni hvyo means 82mil usd around 190bil tsh kwa mbili

Dont get me wrong am not against Investing kwenye ATC ila retruns zake zitachukua muda ..na managment inabid iwe almost kama ya Ethiopian airlines ili tufeel the effect tuwe serious kweli ATC wawe serious na Govt isupport kutoa vikawazo mfano route kama ya joburg

Saivi sina hata imani na huu mradi tena watuu wanapaa na ndege kwenda kutalii mbuga za wanyama eti wanadai wanataka kutangaza vivutio vya bongo
 
Back
Top Bottom