Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

twitter is down au TCRA washafanya yao mpka uwe na VPN? au ni simu yangu
Watu walikuwa wanamsingizia magufuli kumbe ccm bila ya magufuli ndiyo upumbavu wenyewe kuna mipango inafanyika hadi JF itakuwa hadi VPN mother ni mpumbaavu sana huyu
 
Upo sahihi kabisa, manake haiwezekani nchi kuanzia waume mpka dadazao nguvu hawana..
Lazima lawama ziende kw bwana bibie mihogo
Wewe leo unanjaa nini maana ni mihogo mihogo na wewe naona unakunywa chai na picha ya mihogo ya tz, wewe tumbili toka kwa slum ukatafute chakula bana
 
mwenyewe hajalalamika wewe kimbelembele! Eboo kaa pembeni! kwahiyo nawewe una-support Bakhresa apewe BRT?
Ukimtizama bakhresa anatia shaka labda akifa watoto wake watakuwa na utanzania bara kuliko yeye
 



MY TAKE
Watu wanapeleka miundombinu underground huku mawaziri wanaongelea kusambaza nguzo!
Huu usenge umechafua sana mji wetu hasa dar ni lazima tufanye reform ya injinia code za kiinjinia za ujenzi wa miundo mbinu yetu mfano kwenye code yetu nilazima tuzindagatie
1)mifumo ya brt
2)Green city
3)mifumo ya kisasa ya maji mvua
4)mifumo ya kisasa ya maji taka
5)mifumo ya kisasa ya umeme
6)mifumo ya kisasa kuvuka bsrabara siyo uchafu wa "matuta"
7) mifumo ya kisasa ya taa za barabarani ,siyo unaweka taa mbalimbali bila ya utaratibu kila injinia wanajiwekea tu
8)njia za wapita kwa miguu zenye kuzingatia Green city yaani miti na maua
NK...
Sasa hivi kinacho fanyika ni kujenga na kuvunja maana hakuna coordination ya ujenzi unakuta huyu kajenga barabara yule anakuja kubomoa kupitisha bomba nk
 
nenda Kingston, Jamaica,. kuna street inaitwa Jomo Kenyatta Avenue, ata mtoto wa Joseph Hill, wa Mighty Culture anaitwa 'Kenyatta Hill', alafu asa?
Sasa huyo si kibaraka wa wakoloni
 
hii timu bumamuru kutoka Burundi itacheza mchezo wao wa CAFCC uwanja wa Azam ijumaa .. hawajachagua kenya wala uganda
IMG_1359.jpg



Azam nao wanacheza mechi ya CAFCC yao jmosi
IMG_1360.jpg


Kuna hii timu KMKM kutoka Zanzibar wana mechi ya CAFCL jmosi uwanja wa Aman, Zanzibar
IMG_1362.jpg



Jpili Yanga nao wataingia dimban kwenye mechi ya CAFCL
IMG_1361.jpg


”it will be the most busiest international weekend in Tanzania football sport out of whole Africa” if ningekuwa mkenya
 
Hehehe mtanzania anapinga kila kitu, mlishajenga TPA tower Karne ya 16😂😂🤣

View attachment 1928853
Hiyo ni lugha ya picha, Dar es salaam inabadilika kila siku, 2019 tu juzi Tanzania ilikuwa haina flyover hata moja sasa tuna mpka interchange (3-level), barabara kubwa ilikuwa njia sita sasa tunazo njia kumi,
Kenya police don’t have M16s

poor kenyans
 
Yaani ni kelele zoote za Kenya kuhusu kuchanja na lockdowns hata 2% hamjafika?




241560025_10159927309429407_6827893823608489557_n.jpg




MY TAKE
Ndo maana IMF wameamua kutoa zile +$500 mln kwa Tanzania
 
Back
Top Bottom