Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dom to Babati 253 kilometers

Moja kati ya barabara tamu sana ukanda huo

The entire road is almost 3 lanes kutokana na terrains pia kuna kipande kimejengwa na zege

images (81).jpeg
images (83).jpeg
images (85).jpeg
images (84).jpeg
 
Kuhusu mihogo hapa ndio maana covid-19 iligivup bongo. Mihogo ni mojawapo ya mazao machache sana ambayo hayajawa modified genetically kama ilivyo mahindi, mchele, maharage n.k. Tena wakenya ningewaona watu wamaana sana kama mngeimport mihogo kwa wingi ila chaajabu mnaimport mahindi hadi from brazil halafu mnalalamika majengo kubomoka kumbe shida imeanzia kwenye lack of health food 😀
Hakuna kitu km lack of health food mzee
 
how?
ebu eleza..
sijaona tender ikitangazwa,au hata mkataba wa mkopo/ufadhili ukisainiwa.. labda mim sielew
Mambo yanekwenda kasi sana mkuu. Mwenyewe nashangaa ila uwezekano huo wa kuweka jiwe la msingi ndani ya mwezi huu upo mkubwa sana tu.

Tusubirie tuone, maana hata hiyo picha ya TRC wanaongelea ujenzi kuanza karibuni. Maana yake michakato ya tenda, financing na mkandarasi tayari.
 
Back
Top Bottom