Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The new A220-300 r in production line!
Screenshot 2021-09-07 113621.jpg


 
Kuhusu mihogo hapa ndio maana covid-19 iligivup bongo. Mihogo ni mojawapo ya mazao machache sana ambayo hayajawa modified genetically kama ilivyo mahindi, mchele, maharage n.k. Tena wakenya ningewaona watu wamaana sana kama mngeimport mihogo kwa wingi ila chaajabu mnaimport mahindi hadi from brazil halafu mnalalamika majengo kubomoka kumbe shida imeanzia kwenye lack of health food 😀
Sasa nyie wenye nguvu ilikuwaje kufungwa nyingi hivyo na walaji mahindi? Kudadadeki! 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Uchawi upo wapi hapo Acha kukurupuka wakenya kweli mnahitaji kuna na vyakula Bora na vya kutosha Ili kuongeza afya ya akili yenu.
Mihogo inamaliza nguvu za magoti ndo maana dada zenyu walikuwa wanaanguka ovyo ovyo tu 😂 😂 😂
 
Wakunya wenzio wengi pia wanawish wangepanga line wapate kitu hadimu

Nimeshangaa kuona kuna wakunya wengi ni mashabiki kindakindaki wa vilabu vya Tanzania meanwhile hakuna mtanzania anaejua kama mna kilabu cha mpira!

View attachment 1927688
😅😅😅

Tanzanian wannabes

Wakenya wanaomba siku waamke asubuhi wawe watanzania 😅😅

Screenshot_20210907-131052~2.png
 
Wakunya wenzio wengi pia wanawish wangepanga line wapate kitu hadimu

Nimeshangaa kuona kuna wakunya wengi ni mashabiki kindakindaki wa vilabu vya Tanzania meanwhile hakuna mtanzania anaejua kama mna kilabu cha mpira!

View attachment 1927688
Kule kwa uzi wa vituko mitandaoni, washaweka jezi kuwa ni feki feki, lebo inabambuka yenyewe kama sticker, kmme 🤣🤣🤣🤣
 
Hii BRT system wampe Bakhressa alafu muone maajabu
Sijui ni kwa nini serikali wanang'ang'ania kuendesha huu mradi ili hali walishaprove failure tangu enzi za UDA. Huu mradi wa mabasi ya mwendo kasi wapewe sector binafsi kwa win-win situation (serikali ipate gawio lake na mwekezaji apate chake). Kama itafanyika hivyo na mwekezaji akasimamiwa vizuri bila kuingiza siasa uchwara basi huu usafiri utakuwa wa mfano kwa nchi za sub sahara. I hate namna serikali inavyohandle huu mradi mzuri kabisa ambao soko lake basi halijawa utilized hata robo.
 
Huyo dada komora bure kabisa, hajui vyakula na bila shaka hata kupika hajui
Habari za kusikitisha ni kwamba vijana wa bongo sana sana Dar wamelegea sana sababu ya kupenda mihogo, kiepe yai na kitimoto kila mara, sio asubuhi, chamcha hadi chajio. Vipi wakulungwa, msiwe hivyo!😁😁😁
 
Back
Top Bottom