Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
Pole sana kaka.dah wakuu,nashukuru mungu kanipa chance nilipata ajari,ila mguu umepata shinda dizain nimevunjika mguu wa kushoto chini ya goti nimepewa miezi kadhaa ili mfupa uweze kujiunga.
Pole sana kaka.dah wakuu,nashukuru mungu kanipa chance nilipata ajari,ila mguu umepata shinda dizain nimevunjika mguu wa kushoto chini ya goti nimepewa miezi kadhaa ili mfupa uweze kujiunga.
Acha upotoshaji wewe,mtoa mada alikuwa na Nia yake binafsi but kwenye kufanya malipo kuna options kibao za mabenkiHehehe, KCB sanya pesa ulete faida nyumbani😂😂
![]()
TRA kwanini Wamehamishia akaunti ya malipo KCB, siyo tena NMB? Ni ufisadi baada ya Magufuli?
TRA na BOT watajitetea kwa sababu zozote zile lakini sisi tunaolipa kodi ktk nchi hii, kwa kujua nani anamiliki KCB (Kenya Commercial Bank) hii ni chini ya kiwango cha uzalendo uliohubiliwa miaka mitano iliyopita. Nalinganisha malipo niliyofanya 2020 na mwaka huu, yakielekezwa benki tofauti...www.jamiiforums.com
Duh Asante mzee mwenzangu 😅😅😅hongera kwa kulea mzee!
Pole sana ndugudah wakuu,nashukuru mungu kanipa chance nilipata ajari,ila mguu umepata shinda dizain nimevunjika mguu wa kushoto chini ya goti nimepewa miezi kadhaa ili mfupa uweze kujiunga.
Huko kwenye movies, katuni, miereka n.k sio shida kwa Azam. Shida ni premier league tu, hebu jaribu kuelewa bibieMihogo mie naijua lkn nilishangazwa sana na watz walivyoipaisha..
Yani kwenj hyo inatumika km meal bana. !!
Alafu nikuulize, kwn DSTV ni premier league pekeake, walishindwa kumtoa wababe atakuja Azam
Kuhusu mihogo hapa ndio maana covid-19 iligivup bongo. Mihogo ni mojawapo ya mazao machache sana ambayo hayajawa modified genetically kama ilivyo mahindi, mchele, maharage n.k. Tena wakenya ningewaona watu wamaana sana kama mngeimport mihogo kwa wingi ila chaajabu mnaimport mahindi hadi from brazil halafu mnalalamika majengo kubomoka kumbe shida imeanzia kwenye lack of health food 😀Mihogo mie naijua lkn nilishangazwa sana na watz walivyoipaisha..
Yani kwenj hyo inatumika km meal bana. !!
Alafu nikuulize, kwn DSTV ni premier league pekeake, walishindwa kumtoa wababe atakuja Azam
hata sahii tayari ni record sidhani kama kuna nchi Africa imejenga over 800 km of electric SGR leave alone jointed diesel SGR!upon its completion, it will be the record-longest electrified SGR in Africa, and it will take thousands years for another African country to break this record
View attachment 1927404
There is nothing like electrifie SGR you fool. Mtafundishwa hadi lini wewe mjinga😂😂😂upon its completion, it will be the record-longest electrified SGR in Africa, and it will take thousands years for another African country to break this record
View attachment 1927404
Pole sana mkuu, kwakua umepewa uhakika wa kupona tumshukuru Mungudah wakuu,nashukuru mungu kanipa chance nilipata ajari,ila mguu umepata shinda dizain nimevunjika mguu wa kushoto chini ya goti nimepewa miezi kadhaa ili mfupa uweze kujiunga.
Nadhani mwezi huu ndio jiwe la msingi litaweka Kwa hiyo Lot 3.upon its completion, it will be the record-longest electrified SGR in Africa, and it will take thousands years for another African country to break this record
View attachment 1927404
Hebu sahihisha, yaani tuwekee jina sahihi badala ya electrified sgr.There is nothing like electrifie SGR you fool. Mtafundishwa hadi lini wewe mjinga😂😂😂