Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nasubiri maajabu ya wachina nione kama watafanikiwa kupapendezesha hapa
JamiiForums343155159.jpg
 
Eti Kapuku wa kaskazini anauliza ndio mmejenga nini miaka 60 ya Uhuru?

Kapuku ambae nchi wanajitapa ni mabepari wenye elimu na mtajiri leo hii karne ya 21 jiji lao limejaaa majengo na miundombinu ya nchi ya Kijamaa ( China) 他妈的真丢
脸!

Failed kapukus walitakiwa wawe level moja na Seoul, Singapore angalia wenzao walipo na wao walipo sasa hivi.
Tuache kujilinganisha na hawa jamaa, sisi tunafanya mambo kivyetu.

Dar Juzi juzi imejenga majengo (yake) Sio ya wageni ndani ya muda mfupi kuliko yao walioanza miaka ya 60 na bado anakenua.
 
Eti Kapuku wa kaskazini anauliza ndio mmejenga nini miaka 60 ya Uhuru?

Kapuku ambae nchi wanajitapa ni mabepari wenye elimu na mtajiri leo hii karne ya 21 jiji lao limejaaa majengo na miundombinu ya nchi ya Kijamaa ( China) 他妈的真丢
脸!

Failed kapukus walitakiwa wawe level moja na Seoul, Singapore angalia wenzao walipo na wao walipo sasa hivi.
Tuache kujilinganisha na hawa jamaa, sisi tunafanya mambo kivyetu.

Dar Juzi juzi imejenga majengo (yake) Sio ya wageni ndani ya muda mfupi kuliko yao walioanza miaka ya 60 na bado anakenua.
Punguza machungu bradhee, utajinyonga bure. 🤣 🤣 🤣
 
Angalia usije ukapata vidonda vya tumbo (ulcers) kwa sababu ya wivu wa kupitwa na TZ
 
Yani wamehangaika tangu Uhuru kujenga kanchi kao ila sisi tulikuwa busy kuhakikisha nchi zote za Afrika zinakuwa huru ndo tujenge nchi yetu, now after 10 years of hard work tumewapita na kuwaacha mbali, kwann wasiuane 2022
 
Rain started beating tanzania when they started glorifying poverty in the name of ujamaa, by now atleast they should be rubbing shoulders with SA considering the resources they have but sadly its burundi they be catching up to😂😂
 
Check any development index you will find tanzania doing very poor. Sio health, sio education, sio poverty, etc. Tanzania a is definition of how you can have resources but still be poor.
 
Eti Kapuku wa kaskazini anauliza ndio mmejenga nini miaka 60 ya Uhuru?

Kapuku ambae nchi wanajitapa ni mabepari wenye elimu na mtajiri leo hii karne ya 21 jiji lao limejaaa majengo na miundombinu ya nchi ya Kijamaa ( China) 他妈的真丢
脸!

Failed kapukus walitakiwa wawe level moja na Seoul, Singapore angalia wenzao walipo na wao walipo sasa hivi.
Tuache kujilinganisha na hawa jamaa, sisi tunafanya mambo kivyetu.

Dar Juzi juzi imejenga majengo (yake) Sio ya wageni ndani ya muda mfupi kuliko yao walioanza miaka ya 60 na bado anakenua.
Kama tu wanapokea misaada ya chakula kutoka kwenye nchi za kijamaa...unategemea nini mkuu
 
Back
Top Bottom