Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Kulipa kodi ni wajibu mzee kwa ajili ya kuwa huru huwezi kutegemea wahisani kila siku, wahisani wenyewe wanatoza hizo kodi kwao kutupa mikopo! Ukiwabana sana wawekezaji unaongezaje ajira sasa? Na nani kakuambia matozo kwao yatatosha? Na unawezaje ku-compete katika kuvutia wawekezaji na kodi kubwa kwao? Mimi namshauri mama aache expenses zisizo na tija kubeba kundi wakati anazungumzia kujenga mahospitali na anatoza zaidi kodi si akili! Anapaswa aonekane akibana matumizi pia!
Maza anaakili izo kwani hapa tukubali tuu tumepigwa na mwakani ashawahidi watu hatawaongezea mishaara