NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Tz tunauza zaidi Kenya kuliko tunavyo nunua Kenya na diamond anafanya hivyo.
















hii inaitwa back to sender 
Tz tunauza zaidi Kenya kuliko tunavyo nunua Kenya na diamond anafanya hivyo.
















hii inaitwa back to sender 
Kwahiyo hzo sio dawa. Waafrika lini mtaacha kujidharau?Sio kila mtu ambae yupo km wewe, wengine ikiwashika inawapeleka kuzimu..
Tatizo unafuata mkumbo lkn hujali na wengine pia
Kama mbele aisee, ila Tz mwaka huu baridi imekaa mda kweli, hata Dar kama Dar hii hali tunayo mda sasa, upepo mkali baridi mtindo mmoja, aaahh hatujazoea bhn hali hii.it’s houses for me built over there![]()


























Hakuna nchi chafu duniani kama Kenya, it's supposed to be a number one dertiest country on planet Earth.View attachment 1893591




.
Shida ya wabongo ni kiingereza. Please, soma post yangu uielewa ama uniambie nikutafsirie kwa Kiswahili. Ni wabongo wenzako waliosema Tanzania ina more penetration juu ya views za Diamond. Na naona mibaba mizima kama akina Bantugbro ikilike huo upuzi wako. SMHIf this is how you reason then your brain is not properly settled in your big head skull. How can you really compare internet usage/penetration between Kenya and Tanzania by Dimond's fans Youtube views? You must be from the most interior of Turkana where they read Sunday newspapers on Friday!