Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,118
- 17,844
Utaleta picha za kibera hadi lini? Look how small it is in relation to the rest of Nairobi
Now compare with your uswazi that cover your entire city
Utaleta picha za kibera hadi lini? Look how small it is in relation to the rest of Nairobi
Hoteli zote nilileta ni 5*. Sema tu umeogopa, achana na visingizioSasa wewe ulianza kuleta 4 star. Leo ni SGR mzee
Wewe endelea kujifariji na Kibera badala ya kufanya mikakati ya kuplan jiji lenu. And then hiyo picha ya kwanza rudisha ulikotoa. That's not kibera
Nani kakwambia hatuna!?Acha kuongelea kitu hamna😂😂. Ngojeni Hadi hile siku your sgr itaanza kufanya kazi ndio uongee.
Wakati mkituaminisha kwamba hizo ndio mtanunua hamkuwa mnajuwa hii physics? Ama ni somo umepata leo?Tatizo lako hujui physics, hivi unafahamu hizo streamliner (zenye pua iliyochongoka) ni zile za spidi kuanzia 250km/h na kuendelea? Kwasababu air resistance kwa spidi hiyo inakuwa kubwa sana inabidi mbele kuchongoke ili kupunguza resistance hiyo? Je yetu kwa sasa itaenda spidi hiyo?
It is in Eastlands coz neighbouring areas like pipeline ziko Eastlands. Nairobi south nafikiri huanzua South C. My thinking though, I might be wrongis imara daima really in Eastlands or Nairobi South
Wewe nawe una akili za Mafenesi!
Mnapata shilingi ngapi kwenye tourism? Mnapata wageni wengi most of whom ni beach-boys na wasukuma vitoroli kwenye maduka huko ulaya ambao hutembea kwa miguu wakiwa Kenya na kula Mihogo na Chips kavu kwenye vibanda na wenye nazo kati ya hao hula kwa mama ntilie.
Hii imepelekea Kenya kupata watalii wengi na mapato machache sana.
Ni Mjinga tu anaweza jenga terminal ya meli za kitalii instead ya kuwawezesha Pokots na wajinga wengine Kenya kujitosheleza chakula.
Kila mwezi Kenya kuna mtu anamuua ndugu yake wa damu kwa kugombania Ugali!
Man kills his father over ugali in Sivende village Kakamega county
Rice, Chapati ni chakula cha anasa Kenya.
Asimilia ngapi ya wakenya wanaishi Kibera?Majority wanaishi Kibera.
Imara Daima iko SouthIt is in Eastlands coz neighbouring areas like pipeline ziko Eastlands. Nairobi south nafikiri huanzua South C. My thinking though, I might be wrong
Nikimbie nini wakati ulikuja na guest houses za Arusha na Mwanza na ukavuruga kila kitu?We c ulikimbia mada ya hotels wewe leo umerudi tena duh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Okay, I didn't know thatImara Daima iko South
Relax, wacha tusubiri mzigo ufike.Wakati mkituaminisha kwamba hizo ndio mtanunua hamkuwa mnajuwa hii physics? Ama ni somo umepata leo?
The apple doesn't fall far from the treeRelax, wacha tusubiri mzigo ufike.
Usiniletee machozi mimi kipi mnakifanya ambacho Tanzania hakifanywi?Instead of commenting like a fool please enlighten yourself on matters of devolution government system then you will understand what I meant. Hehe as if there is any area that does not collect revenue.
Yetu inafanya kazi. Yenu itabidi mngoje Hadi 2024 ndio muione.
Tanzania moto Kenya buuuuuuYetu inafanya kazi. Yenu itabidi mngoje Hadi 2024 ndio muione.
aawapi ndo ntokee hiyo barabara inaonekana inatumika tayari!Tulia bado iko under construction. Kwani huoni.
Mlituiga wakati akili za kuendesha mfumo hamnaUnatukumbusha enzi za nyayo mzee[emoji1787][emoji1787]
County bajeti yao inapangwa kwenye bunge lao alafu waziri wa fedha anatoa mgao..
Nyie endeleeni na mifumo ya kizamani tu, ndio manake nchi imeshindwa kujinasua miaka yote hyo...
Kenya katiba miaka kumi tu mashinani kumekua kumoto