Kachengcheng
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,551
- 979
SGR ya Tanzania inakaa Simu ya kitambo ya Nokia🤣🤣🤣🤣
Hiyo ni locomotive ya mizigo
Kwani nini kilitokea juzi pale kongowea market...jana pia kimetokea nini pale marikiti market?At-Taanun IslamicTanzania Kwani mumefanyana Nini na Moto
![]()
Lakini kwenu Ni Ghafla Sana inaonekana Roho za Mababu wenu hazijafurahishwa na matreni mulizonunua🤝Tafakari hayo Good morning🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwani nini kilitokea juzi pale kongowea market...jana pia kimetokea nini pale marikiti market?
Kazi ni kufuatilia habari za Tanzania na huku hujui nini kinaendelea nchini kwako.
Mpo alergic na kuweka lanes separation markings!Limuru road, hii nchi imewazidii kwa miaka hamsiniView attachment 1849342View attachment 1849343View attachment 1849350
Limuru road, hii nchi imewazidii kwa miaka hamsiniView attachment 1849342View attachment 1849343View attachment 1849350
Tulia bado iko under construction. Kwani huoni.Mpo alergic na kuweka lanes separation markings!
Barabara zote nimeweka ziko underconstruction.Mpo alergic na kuweka lanes separation markings!
Kwani Tanzania hakuna vya kuleta ili ijitetee navyo?😂😂😂😂., mlichoka kitambo., pumzi kwisha!