Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hili dude lingetua kunyaland kusingetosha hapa jukwaani
Hata UG hawana mbwembwe ka nyinyi! 🤣 🤣 🤣 👇
Screenshot_20210702_235614.jpg
 
Halafu kama umewahi kubahatika kuwa karibu na msanii yoyote yule umuuluze thamani ya kuwa nominated kwenye international awards, dogo ukiachana na kuchukua tuzo,kitendo tu cha kuwa nominated, ina maana kubwa sana kwa musician na kazi zake ilo uelewe,maana naona ukilaza unakuzidia..
Km hujaelewa hapo pole sana, mwambieni domo aumize kichwa akitaka kuchukua BET
 
Sio kila inflation ni biting,na in fact inflation ndogo kwa Nchi maskini kama za Africa ni hasara kuliko kuwa na tija.

Inflation ikifikia double digits ndio tatizo lakini hiyo ya 6% ni health Sana kwenye uchumi kuliko ya 3-5%
Kilaza uliotukuka 😂😂😂😂😂 asante kwa ushuzi
 
Huwezi kutuona hapo cz cc kwetu ni Amani tu mtindo mmoja, majeshi yetu yanafanya kusaidia nchi zingine ambazo ndio utaziona hapo, ila ukitaka kuuona moto gusa uone ndo utajua kwnn mipaka yetu haichezewi hovyo kama mipaka ya nchi zenu
Mbwa wa kubweka hawezi uma chochote nkt
 
Mbona unaumwa kichwa na hiyo sehemu kuwa captured in the same pic? Afadhali hapo kumepangika na kumejengwa majengo. Angalia ushuzi inayozunguka cbd yenuView attachment 1837130View attachment 1837148View attachment 1837156View attachment 1837157
Kwann mzungu asiwe na akili zaidi kuliko wewe 🤣🤣🤣👇👇👇👇 fananisha tuone kwann mzungu alikosa slum dar na hataipata mpaka ardhi ipasuke👇👇👇👇👇
321099DA-7575-4D84-9B7F-A6EA0970B6CA.jpeg
20F26722-E149-4419-96C9-BFF7D2EAC093.jpeg
8CCEB9AE-28E3-41EE-86E5-23E4D742220A.jpeg
F4F13251-F75E-4228-94E6-02B4660735F2.jpeg
87BCBB44-251E-45C6-91DD-266C53C8879F.jpeg
98D84FB4-945A-42C9-A432-6FDEE2B24D1C.jpeg
5B332A3E-9E1A-4219-AB8F-1BCD9A1E0251.jpeg
300D5568-ABB1-4B8B-A074-223FF47B90EA.jpeg
D5E844A6-91A2-4904-9920-CD0F0863FDB8.jpeg
3132CD01-1305-424D-B1E9-FB67C062F28B.jpeg
3B9A47B3-9585-4B5F-B3D3-E5301665ADEA.jpeg
 
Kwa hivyo leo mzungu ni mjinga? 😂 😂
Anyway it won't be the first time mnakana picha za Dar and it won't be the last time
Tengeneza blog weka picha za congo sema dar as usual 🤣🤣🤣 kama mulivofanya hii ya kibera
Munazungukaaa weee mwisho wake munakalia dole wenyewe
9F8D43B2-DA7F-4559-8B6E-90D920AF4B77.jpeg
4F5C789F-28D6-49F6-A0D4-D2BEC6BDC15D.jpeg
 
Back
Top Bottom