Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

View attachment 1832281kumbe hadi uganda imeshinda hawa wajinga nkt! Ni mdomo tu wako nayo onlineView attachment 1832282
Huwezi kutuona hapo cz cc kwetu ni Amani tu mtindo mmoja, majeshi yetu yanafanya kusaidia nchi zingine ambazo ndio utaziona hapo, ila ukitaka kuuona moto gusa uone ndo utajua kwnn mipaka yetu haichezewi hovyo kama mipaka ya nchi zenu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Downtown
IMG_20210701_063725_781.jpg
 
Bombardier (1) na Airbus (2) zitatua muda wowote kuanzia sasa, jumla tutakuwa na ndege (11).




Nyingine (5) zitatolewa zabuni hivi karibuni, ambazo ni
  • Bombardier (1)
  • Airbus (2)
  • Dreamliner (1) mizigo
  • Dreamliner (1) abiria
 
hawa wa tanzania wasituambie kitu hapa.. uchumi yetu imeizidi yao 2× na ukizingatia population yao ni 60million na kenya ni 47million. tuna waste tyme hapa kubishana na hewa
mlifanya sensa juzi tu sasa iweje ubaweka figure ya kighushi? Yani kila kitu lazima mkipike[emoji3][emoji3][emoji3]
Nchi ndogo Mko zaidi ya watu milioni 50...
Tz sensa mara ya mwisho ilifanyika 2012 kwahyo inakadiriwa kufika watu milioni 60 pia yaweza isiwe 60 ikawa chini

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
mlifanya sensa juzi tu sasa iweje ubaweka figure ya kighushi? Yani kila kitu lazima mkipike[emoji3][emoji3][emoji3]
Nchi ndogo Mko zaidi ya watu milioni 50...
Tz sensa mara ya mwisho ilifanyika 2012 kwahyo inakadiriwa kufika watu milioni 60 pia yaweza isiwe 60 ikawa chini

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
sasa nime cook nini hapa.
this is the official report from Kenya National Bureau of Statistics (knbs)
2021_07_01_08.20.57.jpg
 
Back
Top Bottom