Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

50 c, Luda, Papoose nk nk, wote hao hawakuwa nominated, wataka kusema ni watupu? 😂 😂 😂 Pale BET siasa tupu, ndo maana mlipoanza kumtilia fitina Mondi kisa ni rafiki wa serikali etc, akaambulia patupu.
Hao akina 50,luda walikuwa bora kwa wakati wao,lakini sasa kuna wengine wanaotamba nyakati hizi,mondi ni bora na hakuna anayemfikia hapa east afrika
 
Ndio nikamuuliza hyo jamaa anayeshobokea nomination ya BET, we ukitaka kuheshimika chukua AWARD ndio uje utunishie watu misuli km african giant mwnywe(Burna boy)
Huyo Burna boy anatambua wapinzani wake waliokuwa katika category na kakiri kabisi diamond alimuumiza kichwa,na hatambui nonini wala meja
 
Duh ona ushuzi huo
Ameumia, ukipata concrete jungle kama hii mitaani kwenu nitag.
IMG_20210702_233227_369.jpg
 
Huyo Burna boy anatambua wapinzani wake waliokuwa katika category na kakiri kabisi diamond alimuumiza kichwa,na hatambui nonini wala meja
Hajaanza leo huyo, km we ndio unafikiria alianza leo kuwa na wapinzani katika hzo tuzo basi kajipange upya..manake jamaa kachukua mara tatu mfululizo na wapinzani tofauti tofauti, eti diamond alimuumiza kichwa

Hyo ataumizwa kichwa na watu wanaomiza vichwa kutoa kazi zao wala sio watu kuunga unga kutoka hapa na pale
 
WTF, Lil baby ako sawa, lakini kimistari ya kizee hamfiki KD hata robo. Lil baby is just a "rapper-rapper", but KD is a fkng "Lyrical Master"! You feel me? 😂 😂 😂
Do hata jay z alikuwa anawa-mind sana migos kwa ile style yao ya flow,tena akafika mbali sana kwa kusema migos yaani akina quavo na offset wanaharibu na kuiua hip-hop,ma-rapper wengine akina diddy,nas wakasema game imebadilika nowadays sio ka zamani,madogo wanaflow kama game ya sasa inavyotaka,unajua jigger alikuwa anawapinga sana migos,baadaye akakubali mwenyewe na akawachukua na wakamtengenezea ile ngoma ya " apeshit" aliyoimba na mama blue ivy,ile ngoma iliandikwa na offset hadi flows..kwa hiyo game hubadilika akina jigger walikuwa bora kwa wakati wao,lakini sasa madogo wanatamba
 
Hajaanza leo huyo, km we ndio unafikiria alianza leo kuwa na wapinzani katika hzo tuzo basi kajipange upya..manake jamaa kachukua mara tatu mfululizo na wapinzani tofauti tofauti, eti diamond alimuumiza kichwa

Hyo ataumizwa kichwa na watu wanaomiza vichwa kutoa kazi zao wala sio watu kuunga unga kutoka hapa na pale
Dogo hiyo ni kauli yake mwenyewe baada ya kuchukua tuzo,sie mziki tunafuatilia dogo haturopoki hovyo..
 
Dogo hiyo ni kauli yake mwenyewe baada ya kuchukua tuzo,sie mziki tunafuatilia dogo haturopoki hovyo..
Hehehee!!burna boy baada ya kutajwa reaction yake uliiona kweli, au ndio wale jamaa akitamka kitu mbele ya umati basi kapenda..
Mambo mengine tunaita kutiana moyo mayb next time jamaa atatia bidii..

Ile siku domo ataacha kuunga unga kazi zake sijui kutoka hku na kule na kuziunganisha basi atachukua BET, hii kauli yangu utaikumbuka mzee
 
Hili dude lingetua kunyaland kusingetosha hapa jukwaani
Wewe unadhani supplies + rotation zinafanywa na commercial planes na Waamerika na Britons??? 😂 😂 😂 👇 Tulizoea vitu hizo, hadi parking wakonayo, wacha nyie imekuja siku kadhaa alafu itoke, huku zinakuja kufanya kazi! 🤣 🤣 🤣
Dusting_Off_the_Feathers_(19930856828).jpg

1280px-200301-F-VS255-0540.jpg

1280px-Air_Force_Reserve_C-130s_during_Operation_Provide_Relief-Restore_Hope.jpg

1280px-Moi_Airport_DF-ST-99-05500.jpg

1280px-Moi_Airport_DF-ST-99-05499.jpg
 
Hehehee!!burna boy baada ya kutajwa reaction yake uliiona kweli, au ndio wale jamaa akitamka kitu mbele ya umati basi kapenda..
Mambo mengine tunaita kutiana moyo mayb next time jamaa atatia bidii..

Ile siku domo ataacha kuunga unga kazi zake sijui kutoka hku na kule na kuziunganisha basi atachukua BET, hii kauli yangu utaikumbuka mzee
Halafu kama umewahi kubahatika kuwa karibu na msanii yoyote yule umuuluze thamani ya kuwa nominated kwenye international awards, dogo ukiachana na kuchukua tuzo,kitendo tu cha kuwa nominated, ina maana kubwa sana kwa musician na kazi zake ilo uelewe,maana naona ukilaza unakuzidia..
 
Back
Top Bottom