Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Walivamia mara moja kwa kushtukiza tena usiku kwenye kijiji cha mpakani lakini walichofanywa hawatarudi mpaka kesho lakini alshabab wanawaua wakenya kila siku.
Kwani ulitaka those terrorists to inform you that they coming?😂😂
 
Sasa hii ina umeme ambao ni nadra sana kuona katika bara la Afrika. Nioneshe meter au Cape gauge yenye nyaya kama ya bongo.
Exposure ndio shida kwenu.

download.jpeg
 
BET hakunaga top three, either upate award au utoke mtupu! 🤣 🤣 🤣
Niambie kwa nini nonini hakuwa nominated katika ile category, unataka kusema Nonini wako sawa na platnumz??!..ukiona msanii kawa nominated BET awards ujue ujue huyo ni top musician hasa ile best African act
 
Ndo maana yake, Kendrick alikuwa bora kwa wakati wake ule but now baby ni hot...take that.
WTF, Lil baby ako sawa, lakini kimistari ya kizee hamfiki KD hata robo. Lil baby is just a "rapper-rapper", but KD is a fkng "Lyrical Master"! You feel me? 😂 😂 😂
 
Niambie kwa nini nonini hakuwa nominated katika ile category, unataka kusema Nonini wako sawa na platnumz??!..ukiona msanii kawa nominated BET awards ujue ujue huyo ni top musician hasa ile best African act
50 c, Luda, Papoose nk nk, wote hao hawakuwa nominated, wataka kusema ni watupu? 😂 😂 😂 Pale BET siasa tupu, ndo maana mlipoanza kumtilia fitina Mondi kisa ni rafiki wa serikali etc, akaambulia patupu.
 
WTF, Lil baby ako sawa, lakini kimistari ya kizee hamfiki KD hata robo. Lil baby is just a "rapper-rapper", but KD is a fkng "Lyrical Master"! You feel me?
Ndio nikamuuliza hyo jamaa anayeshobokea nomination ya BET, we ukitaka kuheshimika chukua AWARD ndio uje utunishie watu misuli km african giant mwnywe(Burna boy)
 
50 c, Luda, Papoose nk nk, wote hao hawakuwa nominated, wataka kusema ni watupu? Pale BET siasa tupu, ndo maana mlipoanza kumtilia fitina Mondi kisa ni rafiki wa serikali etc, akaambulia patupu.
Ndio pale mwanzo nikamwambia nomination ya BET inategemea na management yako iko vipi
 
Back
Top Bottom