President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Utajua hujui. Tunawapakata.Mchina wenu pia anazo hku wakati kuna baadhi ya chengdu zipo museum
J-7 ipo kazini
Utajua hujui. Tunawapakata.Mchina wenu pia anazo hku wakati kuna baadhi ya chengdu zipo museum
Ushapanic tayar 🤣🤣🤣🤣🤣Najua unavyoumia kuona hizi picha za Nairobi ni magorofa mwanzo mwisho huku nyinyi kwenu hali iko hivi
View attachment 1829847View attachment 1829849View attachment 1829852View attachment 1829853View attachment 1829854
Weka kwenye charge kwanza hiyo simu yako. globalfire.com owner wake ni nani!? DRC inawazidi Kenya siyo. Na PWRINDX ni nini!?View attachment 1832281kumbe hadi uganda imeshinda hawa wajinga nkt! Ni mdomo tu wako nayo onlineView attachment 1832282
Power indexWeka kwenye charge kwanza hiyo simu yako. globalfire.com owner wake ni nani!? DRC inawazidi Kenya siyo. Na PWRINDX ni nini!?
Unakubali DRC inawazidi!?Power index
If reports say so why would I denie???? It's being a sour loserUnakubali DRC inawazidi!?
Jibu swali Mzee. Mbona umeanza kuwa propagandist.If reports say so why would I denie???? It's being a sour loser
Mbona unahaha sana mzee mbele ya Tanzania ndio nini!? Umeacha tena globalfire.comView attachment 1832295uganda kumbe mbele ya tanzania 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Basi litakuwa soko kubwa kuliko lolote kule DarHii ni mall ama soko ?![]()
What do you mean by Electric SGR Stations????Because we have Electric SGR station.only one in East Africa.
Tanzania ni nchi pekee afrika mashariki ambayo inajenga treni ya kisasa inayotumia umeme.ambayo inaendeshwa Kwa mfumo wa kisasa.What do you mean by Electric SGR Stations????
We unaijua treni ya kisasa au unatupigia kelele tu hapa km kawaida yenuTanzania ni nchi pekee afrika mashariki ambayo inajenga treni ya kisasa inayotumia umeme.ambayo inaendeshwa Kwa mfumo wa kisasa.


Sasa hilo linahusika vipi na stations????Tanzania ni nchi pekee afrika mashariki ambayo inajenga treni ya kisasa inayotumia umeme.ambayo inaendeshwa Kwa mfumo wa kisasa.