Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ww unaijua three level inavokaa kweli hii ni sawa na pangani interchange au pia utabisha ???
We jamaa mshamba, hapo umeona underground tunnel ya wapi..
Umeanza ku change gear tena
Hapo hakuna tunnel mzee
images.jpeg-23.jpg
20210621_223919.jpg
 
Naona mnajipa matumaini, eti hakuna neno swara...ugua pole pole View attachment 1825905
Kama kuna watu wapumbavu humu ndani basi ni wewe, by the way hii ndio platform pekee itakayokufanya ufanye improvement ya kiswahili chako we tako, unabahati sana kukutana native speakers wa kiswahili, kwahyo usiwe much know, jitahid kusoma na kuelewa tunachokwambia.. Kwenye lugha ya kiswahili huna ujualo
 
🤣 Ww unaijua three level inavokaa kweli 🤣🤣🤣🤣🤣 hii ni sawa na pangani interchange au pia utabisha ???🤣🤣
Mshaanza kuogopa changamwe three level interchange, vaa chupi chanjo ushapata.👇👇👇💉💉💉🤣🤣
IMG_20210621_212924_496.jpg
 
Kama kuna watu wapumbavu humu ndani basi ni wewe, by the way hii ndio platform pekee itakayokufanya ufanye improvement ya kiswahili chako we tako, unabahati sana kukutana native speakers wa kiswahili, kwahyo usiwe much know, jitahid kusoma na kuelewa tunachokwambia.. Kwenye lugha ya kiswahili huna ujualo
Maneno ya leso hayo
Insha yote kisa umeshikwa kunako, nimekwambia km hutaki kajinyonge mzee baba..
Unajitia kujua kumbe zuzu la mwisho, eti mimi sasa ndio wakufundishwa kiswahili na watu wapumbavu km nyie...
Mtu unakaata mpka facts alafu mwisho unakimbilia matusi ya kishamba...
Pole sana mzee, nadhani somo limeingia vizuri
 
Maneno ya leso hayo
Insha yote kisa umeshikwa kunako, nimekwambia km hutaki kajinyonge mzee baba..
Unajitia kujua kumbe zuzu la mwisho, eti mimi sasa ndio wakufundishwa kiswahili na watu wapumbavu km nyie...
Mtu unakaata mpka facts alafu mwisho unakimbilia matusi ya kishamba...
Pole sana mzee, nadhani somo limeingia vizuri
Nataka nikutafutie mwanaume akuliwaze. Tuma picha yako nurse wa kibera.
 
Back
Top Bottom