Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alaf usafiri punda 🤣🤣🤣🤣
Boti umezisahau? Ungekuwa na akili kidogo tu, ungejua ni Island so sio kubwa, mijengo ya kiarabu ilijengwa karibu karibu, ndio patoshe majumba mengi, so bike, bicycle, boat, punda, ndio usafiri. Na bado ni heritage site so hatuwezi kupavunja eti sababu kuweka barabara, huo utakuwa utopolo! 🤣 🤣 🤣
 
Alaf usafiri punda 🤣🤣🤣🤣
Kwani zanzibar hakuna punda na canter 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 👇
2807295_Screenshot_20210613-195056.jpg
imago0101353709w.jpg
images.jpeg
 
ukanda wa ziwa victoria kuna battle kubwa sana kibiashara, Tanzania kuna uwekezaji mwanza na kenya kuna uwezekaji sijui ndo wanaita kisumu

Uzuri ni kwamba Kisumu inahitaji hisani ya Uganda na Tanzania kufanya biashara Lake Victoria kwahiyo hawatusumbui ndo maana tayari wanalialia!



ila hii haijakaa vizuri kimbelembele cha G7 maana mabingwa wa kukopa wataenda kuomba fedha za SGR Naivasha-Kisumu-Malaba!

 
Wanaharakati wanakuambia "kwenye msafara wa mama lile gari la machumachuma halipo tena pia wale jamaa wanaovaa sare za mabaka baka hawamlindi mama tena"

Na kuna watu wameshikiwa akili na wale wanaharakati
IMG_20210614_111814_987.JPG
 
guys, tumen hizi kwa accounts za serikali.. if una connection nao

 
Nioneshe hio bus nyingine 🤣🤣👇👇 manake leo nataka kucheka vzr
View attachment 1818226
Hizi ftbl club za Kenya, hazina hela nyingi zakujionyesha lakini mkiingia nazo uwanjani mnasulubishwa kama kawa, yaani hata sio nyie tu hata club zingine zinazo participate CECAFA. Na bado CAF walitia history pia, wakati huo! Sasa nyie bakini na hela yenyu. 😂
 
Wacha yeye, wengine wanacheza nchi zenye hela nyingi kuliko Tz. So sioni kitu hapo, ata alikosea, angeenda sign hata Uchina, hela iongezeke! 🤣 🤣 🤣 🤣
Mbona kama unabadilisha mada 🤣🤣 au umeona moto mbele
 
Bus ni zenyu, Rekodi za dunia ni zetu. Hii dunia sijui ni nani halitambui hilo jamani! 🇰🇪 🔥 😂 😂 😂 😂
Tatizo pesa muliopata afcon imefanya nn kwenye timu au imeeenda kwa wale wasiojulikana 🤣🤣🤣🤣
 
Hizi ftbl club za Kenya, hazina hela nyingi zakujionyesha lakini mkiingia nazo uwanjani mnasulubishwa kama kawa, yaani hata sio nyie tu hata club zingine zinazo participate CECAFA. Na bado CAF walitia history pia, wakati huo! Sasa nyie bakini na hela yenyu. 😂
Hazina hela nyingi za kujionesha haya oneni maneno hayo 🤣🤣🤣🤣 team lazma iwe na uwezo wakujiendeleza kimaendeleo huwezi kua na team kubwa kenya haina hata banda la ofisi alaf useme hamujioneshi acha utoto wewe
 
Back
Top Bottom