The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
What i see 🤣🤣👇👇👇👇 ona ground floor hii alaf ona na hioKwa hio hii hutaki we engineer uchwara, the only three level interchange with roundabout in africa🤣🤣🤣👇👇 ukipata kama hii africa nzima nitag.View attachment 1825942View attachment 1825944
🤣 🤣 🤣 🤣 huyu kwao utapata ndo amesoma sana.We know for a fact your mentle status is quastionable[emoji1787]![]()
Hiii na pangani ni kama kuku na yai 🤣🤣👇 kwa lugha ya kitaalamu inaitwa two levelKwa hio hii hutaki we engineer uchwara, the only three level interchange with roundabout in africa🤣🤣🤣👇👇 ukipata kama hii africa nzima nitag.View attachment 1825942View attachment 1825944
Halafu kajisifia kabisa anatoka pwani so anaongea kiswahili fasaha!unajua mungiki wa mombasa wanawadanganya mungiki wa bara eti wanaongea kiswahili fasaha,wakati wao kiswahili awakiwezi!Wewe naona unamatatizo yako binafsi. Huoni hata wakenya wenzio wamekuchunia.
Tafuta Kamusi ya BAKITA
Download APP hapa:-
![]()
Kamusi Kuu ya Kiswahili - Apps on Google Play
Kamusi Kuu Ya Kiswahili app is a Kiswahili digital dictionary of Longhorn.play.google.com
Hatuna neno swara kwenye kiswahili. Hizo kamusi zako uchwara ni upumbavu.
Utaanzaje kubishia watu wanatumia kiswahili kila Siku!?
Hebu ondoa mavi humu.🤣 🤣 🤣 🤣 huyu kwao utapata ndo amesoma sana.
Level na floors ni vitu viwili tofauti we mwehuWhat i seeona ground floor hii alaf ona na hio View attachment 1825954
ikiwa huoni hata kupapasa huweziView attachment 1825955


Jamaa wananishangaza na elimu yao ujue, sasa level na ishu na ground floors/uderground zimeingilianaje jamani swahiba..![]()
![]()
![]()
huyu kwao utapata ndo amesoma sana.
Wewe mpumbavu(Stupid) umemaliza kuosha wagonjwa vidonda!?Level na floors ni vitu viwili tofauti we mwehu
Yani unaoenda kujichanganya mpka naskia raha sana..
Hakuna kitu km km ground floor kw levels mzee
Chukua somo kiasiView attachment 1825958View attachment 1825959
Kwahyo kumbe akili zako zinavyokutuma ni kwamba sisi tunasema "Swala"kwasababu hatuwezi kutofautisha L na R 😂😂😂😂 we ni kum*** kweli wewe .. vipi asee huyu chalii wetu.? Nenda ukafanye assignment uliza wakunya wenzako ni Swala au Swara.? Hatuna neno Swara kwenye lugha ya kiswahili, mimi ni native speaker wa kiswahili, mbwa kama wewe utaniambia nini.? Sio tu kukiongea nimesoma kiswahili kuanzia chekechea mpaka advance form 5-6 Mimi nimesoma HKL, mbweha kama wewe utaniambia nini kuhusu kiswahili .?Yani unalalama mpka unatia huruma
Tatizo sio mimi, R na L ndio zimeleta yote haya
Panga matofali kwenda juu flyover ila mchina sijui kwann anafanya haya mambo kenya
![]()
Daraja chini ya ujenzi laporomoka huko Kenya
Daraja "flyover" chini ya ujenzi huko Kangemi, Nairobi Kenya limeporomoka mida hii. Watu wanne wameokolewa wakiwa na maumivu makali huku wengine wakihofiwa kufunikwa na kifusi. Chanzo: kenyans.co.kewww.jamiiforums.com
Kitu kimeitika mapema asbh![]()
Hii nchi aisee ni zaidi ya MAVI.Tayar mambo yamewaka tena, ohh sisi tuna jeshi imara ohh sisi nye nye tuna vifaa vya kivita
Kilaza mwngine huyoooHalafu kajisifia kabisa anatoka pwani so anaongea kiswahili fasaha!unajua mungiki wa mombasa wanawadanganya mungiki wa bara eti wanaongea kiswahili fasaha,wakati wao kiswahili awakiwezi!


Hayana akili haya mang'ombeila ujue ninni hilo eneo wanapojenga hio flyover.. its denseless.. kumejaa udongo mtupu.. sasa flyover sijui ya nin?





We jamaa lugha zako, eti likabutuka, yn nmecheka snSio hio karibia zote we tulia time will tell umesahau ile daraja siku mbili kabla ya kufunguliwa likabutuka![]()









Somo mtapewa tu, hata mjitie utahiraHiii na pangani ni kama kuku na yaikwa lugha ya kitaalamu inaitwa two level View attachment 1825956


Jibu swali langu umemaliza kuosha vidonda vya wagonjwa!?Kilaza mwngine huyooo
Karibu sana, jiunge na wewe..manake kujitoa ufahamu kwenu kawaida
Umeanza upumbavu wako. Hata kama huna akili tumia hata matako basi.
Hii picha inakaa ni ajali mining sites!Road accidents kwenyu ata usiseme, balaa tupu! Alafu huaga mnapiga picha wakati wa rescue, yaani kukosa akili... 😂 😂 😂 😂
View attachment 1825935
Nimecheka kinoma, beki kadaka alafu beki mwenyewe Semedo, fifa ya wapi hii au ya KenyaNimecheka kwa sauti kubwajamaa kapeleka moto beki kadaka






