Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hio hii hutaki we engineer uchwara, the only three level interchange with roundabout in africa🤣🤣🤣👇👇 ukipata kama hii africa nzima nitag.View attachment 1825942View attachment 1825944
What i see 🤣🤣👇👇👇👇 ona ground floor hii alaf ona na hio
2D2BADFD-0CCC-47C9-BA54-ACF2D7CFF3CB.jpeg


ikiwa huoni hata kupapasa huwezi😂😂
3860B70D-7B10-4AC8-B58D-079BF96D1D52.jpeg
 
Wewe naona unamatatizo yako binafsi. Huoni hata wakenya wenzio wamekuchunia.
Tafuta Kamusi ya BAKITA
Download APP hapa:-


Hatuna neno swara kwenye kiswahili. Hizo kamusi zako uchwara ni upumbavu.
Utaanzaje kubishia watu wanatumia kiswahili kila Siku!?
Halafu kajisifia kabisa anatoka pwani so anaongea kiswahili fasaha!unajua mungiki wa mombasa wanawadanganya mungiki wa bara eti wanaongea kiswahili fasaha,wakati wao kiswahili awakiwezi!
 
Kuna tofaut kati ya level na storey 🤣🤣🤣
Ground level, second level and third level hapa pia unahitaji uwe na phd au 😂😂😂
 
Yani unalalama mpka unatia huruma
Tatizo sio mimi, R na L ndio zimeleta yote haya
Kwahyo kumbe akili zako zinavyokutuma ni kwamba sisi tunasema "Swala"kwasababu hatuwezi kutofautisha L na R 😂😂😂😂 we ni kum*** kweli wewe .. vipi asee huyu chalii wetu.? Nenda ukafanye assignment uliza wakunya wenzako ni Swala au Swara.? Hatuna neno Swara kwenye lugha ya kiswahili, mimi ni native speaker wa kiswahili, mbwa kama wewe utaniambia nini.? Sio tu kukiongea nimesoma kiswahili kuanzia chekechea mpaka advance form 5-6 Mimi nimesoma HKL, mbweha kama wewe utaniambia nini kuhusu kiswahili .?
 
Panga matofali kwenda juu flyover ila mchina sijui kwann anafanya haya mambo kenya

Kitu kimeitika mapema asbh
Tayar mambo yamewaka tena, ohh sisi tuna jeshi imara ohh sisi nye nye tuna vifaa vya kivita
Hii nchi aisee ni zaidi ya MAVI.
 
Kilaza mwngine huyooo
Karibu sana, jiunge na wewe..manake kujitoa ufahamu kwenu kawaida
Jibu swali langu umemaliza kuosha vidonda vya wagonjwa!?
NB: Acha kuparamia vitu usivyovijua. Endelea na kazi yako ya nursing ndio unayoiweza kiasi.

Huku waachie nguli.
 
Back
Top Bottom