Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Moumbavu bibi yako kijijini, msituletee upumbavu wenu wa kushindwa kutamka baadhi ya herufi katika lugha yetu pendwa ya kiswahili..

Swala ni upupu gani km sio neno la kutoholewa tu, lkn kiswahili sanifu ni swara mzeeView attachment 1825743View attachment 1825745
We bhana haujui kiswahili unyamaze πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na hata iyo google haiwez kukusaidia chochote .. nimewahi kukwambia siku moja, kama unaona unajua kiswahili nikuulize swali.. nyoosha kidole jifanye kama unajikuna nikuoneshe.πŸ˜‚πŸ˜‚. Ngoja nikurahisishie .. "Swala" ni neno tata (ambiguity) linamaana mbili tofauti, kuna "Swala" mnyamaπŸ‘‡
Screenshot_20210621-210736_1.jpg
na kuna "Swala" ibada (kwa waislamu) .. alafu kuna neno "Suala" this means jambo fulani.. Kwenye kiswahili hatuna neno Swara πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ .. mwambie mwalimu wako wa kiswahili akurudishie ada yako.. πŸ˜‚πŸ˜‚. Umesoma kwanza.?
 
We bhana haujui kiswahili unyamaze na hata iyo google haiwez kukusaidia chochote .. nimewahi kukwambia siku moja, kama unaona unajua kiswahili nikuulize swali.. nyoosha kidole jifanye kama unajikuna nikuoneshe.. Ngoja nikurahisishie .. "Swala" ni neno tata (ambiguity) linamaana mbili tofauti, kuna "Swala" mnyamaView attachment 1825822 na kuna "Swala" ibada (kwa waislamu) .. alafu kuna neno "Suala" this means jambo fulani.. Kwenye kiswahili hatuna neno Swara .. mwambie mwalimu wako wa kiswahili akurudishie ada yako.. . Umesoma kwanza.?
Bwahaha!!we msukuma ndio wa kumfundisha kijana wa pwani kiswahilinaona imekuumaee, kalia cha kati mzee km imekuuma sana .

Eti jamaa nalo linajiskia lina akili kumbe kamasi tu, pangua hyo mzee km wewe bingwa sana la kiswahili..
Hamuwezi kutuharibia lugha kw lafudhi zenu za kipuuzi
20210621_201706.jpg
20210621_201729.jpg

Tena ulivyomwehu unapinga mpka bendera yenu hapo kw translate, kiasilia kabisa inamaanisha watanzania wenzako walihusika hapo licha ya wewe kuja jf kupinga kisa R na L kuofautisha kwako ni sawa na sisimizi kuwaza ubahili
 
Bwahaha!!we msukuma ndio wa kumfundisha kijana wa pwani kiswahilinaona imekuumaee, kalia cha kati mzee km imekuuma sana .

Eti jamaa nalo linajiskia lina akili kumbe kamasi tu, pangua hyo mzee km wewe bingwa sana la kiswahili..
Hamuwezi kutuharibia lugha kw lafudhi zenu za kipuuziView attachment 1825869View attachment 1825870
Tena ulivyomwehu unapinga mpka bendera yenu hapo kw translator kiasilia kabisa inamaanisha watanzania wenzako hapo walihusika licha ya wewe kuja jf kupinga kisa R na L kuofautisha kwako ni sawa na sisimizi kuwaza ubahili
Wewe naona unamatatizo yako binafsi. Huoni hata wakenya wenzio wamekuchunia.
Tafuta Kamusi ya BAKITA
Download APP hapa:-


Hatuna neno swara kwenye kiswahili. Hizo kamusi zako uchwara ni upumbavu.
Utaanzaje kubishia watu wanatumia kiswahili kila Siku!?
 
Wewe naona unamatatizo yako binafsi. Huoni hata wakenya wenzio wamekuchunia.
Tafuta Kamusi ya BAKITA
Download APP hapa:-


Hatuna neno swara kwenye kiswahili. Hizo kamusi zako uchwara ni upumbavu.
Utaanzaje kubishia watu wanatumia kiswahili kila Siku!?
Bro unapoteza muda wako na nguvu zako kubishana na hilo dudu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hio ni phase 1 tu mombasa to jomvu lakini ishawatoa kinyesi, bado phase 2 mpaka mariakani. Lazima watatuheshimu.
Kwn mzee, hii bado ni ile ile project moja ya kuelekea mpka mariakani kabisa..
Hii barabara ni noma sana, kuanzia 2019 jamaa walikua wanaichimba mpka leo kazi inaendelea tu..kwn tatizo nini manake kw maoni yangu wako slow
 
Back
Top Bottom