Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Chunga sana usimiminiwe matusi na wenzako hadi unyang'anywe uraia wako kwa jinsi ulovyoongea hapa. Wenzako hawapendi watu wanaoongea ukweli kama wewe
Mtanzania hawezi kuandika kiswahili kibovu kama iko,huyo ni mungiki wa kibera kiasi kwamba anaona slums zilizojaa kenya ni kawaida anaongelea upupu,hivi upupu anaujua kweli huyo fala!
 
Express ya mchina kwa miaka 30 na bado mutamlipa mchina kutumia then itukoseshe raha sisi?? Serious 😁😁😁 ni mlevi pekee ndio atakaekosa raha
Hata kama ya kwao,wanavyodhani tukiitaka hiyo express way ya mkopo mchina atakataa kutupa,express way si kipaumbele chetu kwa sasa,angalia kwa wivu wao wanavyosuffer na brt,wanapiga mpaka rangi barabarani ili mradi tu wawe na brt!wakunya wivu ni jadi yao ndio maana ukabila umetamaraki
 
Halafu sasa afadhali angekua anajua kiswahili kabla ya kujifanya Mtanzania,hao mungiki wenzake kiswahili wanakijulia humu humu
Pole yako. Lugha ya kiswahili inafundishwa mashuleni kuanzia chekechea, sio ka nyie mnaanzishwa kusoma kiingereza shule ya upili, sasa hapo unatarajia jitoto lizima lishamea mavu... zi lishike hiyo lugha kweli? 😂 😂 😂 😂 Alafu ndio mnataka kuwa "innovators", yaani sahi science team yenyu ya vyuo viitwe competition huko ughaibuni, huoni itakuwa kituko kwenye presentation aisee, unanikumbusha 'Mkalimani' wenyu! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
You've not included the following in that list (at least the ones that I can remember):
1. GTC residential tower one
2. GTC Residential Tower two
3. GTC Residential tower three
4. GTC Residential tower four
5. FCB Mihrab tower - 25 floors
6. One Africa Place - 21 floors
7. MJ1 Business Tower - 20 floors
8. Parliament Towers - 26 floors
9. CBK Pension House - 30 floors
10. Upper hill Chambers - 26 floors
11. The Marquis Tower one - 21 floors
12. The Marquis Tower two - 21 floors
13.Hazina Towers - 24 floors

All these are complete/topped out buildings. Hapo hatujaweka zile ziko under construction like 88 Nairobi
Over 20 ni nyingi sana,kama hizi hujaweka na ziko topped out....hii building next to mj1 ni ndefu kidogo na floor 21 kwa sasa.hii picha ni ya kitaambo kidogo
tapatalk_1619846682659.jpg


Sent from my LAVA_R1 using JamiiForums mobile app
 
Nlikuwa Niko busy na mambo yangu aafu jamaa linaibuka from no where 🤣🤣🤣daah Yani huyu kama maadishi yake yana fanana na mtu Fulani humu ndani🙂double ID nahisi 🙂
Fala flan limeamua kuja na id nyingine kupoza machungu ya njaa ya kunyaland
 
You've not included the following in that list (at least the ones that I can remember):
1. GTC residential tower one
2. GTC Residential Tower two
3. GTC Residential tower three
4. GTC Residential tower four
5. FCB Mihrab tower - 25 floors
6. One Africa Place - 21 floors
7. MJ1 Business Tower - 20 floors
8. Parliament Towers - 26 floors
9. CBK Pension House - 30 floors
10. Upper hill Chambers - 26 floors
11. The Marquis Tower one - 21 floors
12. The Marquis Tower two - 21 floors
13.Hazina Towers - 24 floors

All these are complete/topped out buildings. Hapo hatujaweka zile ziko under construction like 88 Nairobi
which Hazina Tower?
 
Eti venye upupu,huu uzi mungiki wanachezea za chembe mpk wanakuja na id za kujifanya Watanzania!
Mwanzoni wakati huu uzi unaanza ilikuwa ngumu kuwashawishi Watz kwamba tupo juu ya nchi zote za EA but nowadays hata wale UFIPA waliokuwa wanatukana humu wamepotea, wamebaki kuongea siasa tu
 
Back
Top Bottom