Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Ukweli ipi? Hebu zitaje hapa tuoneNi Watz wachache sana wasioujua ukweli kuhusu maisha ya Kenya kwa sasa, ukiona mTz anasifia Kenya na anaujua ukweli ujue huyo anaongelea siasa.
Ukweli ipi? Hebu zitaje hapa tuoneNi Watz wachache sana wasioujua ukweli kuhusu maisha ya Kenya kwa sasa, ukiona mTz anasifia Kenya na anaujua ukweli ujue huyo anaongelea siasa.
Habari ndio huyo. Kisii ingekuwa Tanzania ingeshaoewa hadhi ya jijihizi city za Tz huchekesha sana
Sababu ni wewe ulizijenga... Rudi shule kilaza! 🤣& 50% of them are not fit for human habitation.
Please don't shoot me, it's the study that reveals those figures.
Chukua 👇👇👇👇Mbeya city 😂 😂 😂
View attachment 1816613View attachment 1816657View attachment 1816654View attachment 1816614
Kisii town
View attachment 1816665View attachment 1816714View attachment 1816715View attachment 1816716
View attachment 1816714View attachment 1816716
View attachment 1816717View attachment 1816718
Je nyie muliingia hata hio afcon yenyewe ??🤣🤣🤣 bora ya sisi tumecheza na mpunga tumechukua
Kawaida yao, sio wamama, sio wazee. Full mbinde! 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 🙆🏾♂️Watu si wanapitia madirishani
Sio kibera tu yenye 2.5 m people kuna mathare, kariobangi, makuru kayaba, kisumu ndogo, etc 🤣🤣🤣👇👇👇👇Kibera ndio kitu kipo Nairobi man we za linganisha na hicho kijiji chenu, hakuna kitu kingine. Hapo tumewaruhusu. Na ususahau bado nangoja picha za magorofa za uswazi nicheke kidogo
Mbeya city is way industrious than that Kisii town!
Sisi mpira sio sana vile, na tunalijua hilo, ndo maana tuna vunja marekodi kwenye michezo mingine. Mpira chezeni nyinyi!!! 🤣 🤣 🤣 🤣Je nyie muliingia hata hio afcon yenyewe ??🤣🤣🤣 bora ya sisi tumecheza na mpunga tumechukua
Express ya mchina kwa miaka 30 na bado mutamlipa mchina kutumia then itukoseshe raha sisi?? Serious 😁😁😁 ni mlevi pekee ndio atakaekosa rahaHii expressway inawakosesha raha
Kumbe sio sana sasa nyamazeni musishindane na team zenye pesa east africa 🤣🤣🤣🤣 au mm nadanganyaSisi mpira sio sana vile, na tunalijua hilo, ndo maana tuna vunja marekodi kwenye michezo mingine. Mpira chezeni nyinyi!!! 🤣 🤣 🤣 🤣
Hapo sija-list migodi!Maskini alijua ni ile mbeya city ya 90s akasahau tuko 2021 😄😄😄 kakimbilia kupost picha za 10yrs back akajua kamaliza
Oneni kitu ananiobesha 🤣🤣🤣 ananionesha sehemu appartment za police officers mm nataka kuona polisi wa kawaida wanaishi wapi nairobi 🤣🤣🤣 au unataka kuniambia polisi wote nairobi wanaishi hapoFala atabaki fala... Huko kwenyu ziko, au ndio hizo barracks mnawaweka, wakistaafu mnawafurusha? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Hizo za KE ni Unit wanapewa zao kabisa, hela inatolewa kupitia sacco yao. 😂 Mnagonja sana huko, labda akili zenyu ziwe sawa kwa civil servants 💉💉💉👇👇👇👇kionjo tu, zingine nilituma tayari huko juu, yaani wanafanya bonge la investment dadeq, Tz mtaota tu. Hadi jamaa wa boda boda KE, huwezi mfananisha na askari wa Bongo. 😂
View attachment 1816871
View attachment 1816872
View attachment 1816873
View attachment 1816874
View attachment 1816875
Office hizo mkulungwa? 👆 👆 👆 Hata huna aibu...
Vijana wadogo lakini life wanaiona tamu tayari, mpaka usafiri unachukua kwa muda mfupi tu tangu uingie serikalini, inaitwa kujipanga! 👇
View attachment 1816896
Fungua na hii ucheke zaidi 🤣🤣 munaleta picha za 10 yrs back 👇👇👇hizi city za Tz huchekesha sana
🤣🤣🤣🤣 yani wanahangaika usiku mzima hawalali wanawaza kwann 10yrs tanzania imesonga mbele kwa speed ya lightHapo sija-list migodi!