Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unataka kulinganisha maisha ya US na Bongo sasa? 😂
Wengi wa AAs wameshachoshwa na maisha ya huko Marekani na wengi wa savings kubwa ni kwamba walikua hawajui tu mambo mazuri ya Tanzania

Sasa unamkuta ana savings ya 90k$ au 200k$ akija nayo bongo ni mtu mwingine kabisa thus why wanakuja kwa wingi
 
Mbona imekaa kama shule
Kwenye hii sector hapa Africa Tanzania ipo mbele sana, sub-saharan tunaongoza

dalalimwokozi_1623402052126_1.jpg
dalalimwokozi_1623402052126_2.jpg
dalalimwokozi_1623402052126_3.jpg
dalalimwokozi_1623402052126_4.jpg
dalalimwokozi_1623402052126_5.jpg
dalalimwokozi_1623402052126_6.jpg
dalalimwokozi_1623402052126_7.jpg
dalalimwokozi_1623402052126_8.jpg
dalalimwokozi_1623402052126_9.jpg
dalalimwokozi_1623402052126_0.jpg
 
Mmeitenga hiyo pesa muitoe wapi? Mkopo to gdp ratio upo 95% 😅😅😅
😂 😂 😂 😂 😂hizi👆👆akili mnazitoaga wapi?😂😂😂.,where did u school mkuu? yaani wengi wenu humu mko ovyo tu sana!,mnachekesha sana😂😂😂😂😂😂, wacha nikuelimishe kama mtoto wa chekechea., baba yako anaweza akakopa hela zaidi ya pato lake ili a meet some needs, kisha kwa mshahara wake anatenga pesa flani kiasi kulipa ile mkopo pole pole, sasa anapofanya budget yake ya mwezi haimaanishi yeye hatakua na hela kabisaa ya ku meet his needs katika budget yake, akisema anatenga pesa flani kwa ajili ya matumizi flani, jua ana maanisha, sio hadithi za vijiweni wewe kilaza ama propaganda za CCM za kujenga kwa "pesa za ndani"😂😂😂, kwa vile kila mwezi baba ako na mapato, na hatumii pato yake yote kulipa deni. Kenya has income from various vyanzo vya kutega uchumi zaidi ya Tanzania mara mbili., stop looking at kenya from Tanzanian poverty lenses.😂😂😂
 
Hiyo interchange ipo Addis Ababa ukunya unakusumbua!
Ndo maana ukaambiwa hivi na serikali yako ya ugatuzi. ya Banana.

2803856_tapatalk_1589570361776.jpg




Nothing like that in Addis you idiot.., 😂 😂 😂 punguza maumivu..,just a picture of somewhat what to expect., may not be exactly, but is a complex three level interchange in Mombasa, apart from other flyovers already up and running.., Tanzania je? ni Dar tu.
 
Back
Top Bottom