komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,646
Kwn we kwa akili zako kujua kingereza ni nn?Mnataka kusema kila mkenya anajua kiingereza!nishakutana na wakenya kibao abroad hawajui kiingereza
Kwn we kwa akili zako kujua kingereza ni nn?Mnataka kusema kila mkenya anajua kiingereza!nishakutana na wakenya kibao abroad hawajui kiingereza
Semi illiterate ๐๐๐๐๐คฃSasa umeona uje kutapika ushuzi hapa ๐คฃ๐คฃ hvi kati ya kenya na tanzania nani ameanza kuingia MLDC, tanzania imeingia 2019 wakat kenya imeingia 2014
tulitegemea kuiona kenya iko mbali zaidi lakini maskini ya Mungu leo hii zimbabawe ina nafuu kuliko kenya according to world bank, hvi ukitumia akili ya kuzaliwa kati ya tanzania na kenya nani anarudi nyuma badala ya kwenda mbele???๐๐๐
faida ya GDP iliojaa madeni 86% iko wapi??? Faida ya budget kubwa alaf 85% watu wanakula nyingine madeni kulipa iko wapi??
mkiambiwa ukweli munakasirika munaanza kutoa maneno ya kanga humu ndani๐๐
vumilia tu utazoea๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐View attachment 1814990View attachment 1814991
Mi pia nashangaa, yani sikusoma mie alafu kuteseka uteseke weweWewe hata shule hujaenda, kuwa mpole.
Kabisa, yani ni sawa na kusema tawi vile(branch)Danganyika ni kituko cha inchi. Kenya should colonize Tanzania
We mzee umepinda walaiyani ukiamua kupinga we unapinga tu hutaki kujua aliyepost nani..yaani of all the places anaenda kucheza Libya? Aangalie wasije muuza utumwani!
noma, yani shingi mia tu jamani ndio wawe wengi hvoThat's the pount these lazy bones haven't been able to understand. Sisi tunapimwa kwa kiwango cha less than $3 a day na ndio tunapatikana tuko 20.8m. Wao kipimo kinachotumika kwao ni ile ya less than $1 a day na ndio wanapatikana 28m people. Wajiulize hali ingekuwaje kama kipimo cha $3 ingetumika kwao kama ilivyotumika kwetu. Ufukara wa hali ya juu!
huo ni ushauri! Libya hakuna utulivu!We mzee umepinda walaiyani ukiamua kupinga we unapinga tu hutaki kujua aliyepost nani..
Mpka post za chairman nazo unazipiga vitasa
Hizi sasa nyege walaiKibera isn't only the biggest slum in Nairobi, but the Biggest slum in Africa, and world at Large,
Remember there are 2.5m inhabitants in Nairobi slums, accounting for 60m population of Nairobi.
Wallpaper hii... ๐ ๐ฅChale island
View attachment 1815014
Sasa ukipunguza idadi ya mapato alafu uongoze ya bajeti ndio na nyie bajeti yenu itaongezekaLOL your annual collection is 1 trillion halafu mnakuja na budget ya 4 trillion? Hiyo 1 trillion hata kulipa mishahara tu haitoshi
Kenya hutumia 1.2 trillion kulipa mishahara tu bado kulipa mikopo iliowaganda mpaka matakoni
Jamaa kumbe linakesha tiktok ku post ujinganow how is that stupid mr arabman ichoboy?
you the one that that posts tiktok videos and selfies on twitter...
y'all niggas is lame asf
View attachment 1814789
Mmeitenga hiyo pesa muitoe wapi? Mkopo to gdp ratio upo 95% ๐ ๐ ๐Sasa ukipunguza idadi ya mapato alafu uongoze ya bajeti ndio na nyie bajeti yenu itaongezeka
Alafu ukumbuke tumetenga ksh 600B kw ajili ya ku service loan, kwanza naskia deni la taifa tz limefikia tsh71trillion
Hii project yao inakasoro kibao aisee hawa jamaa watasagaa meno we ngoja tutajioneaNangoja kuona mabasi yao ya BRT yatapishana vp maana sioni lanes za kutosha!
๐ ๐Sasa ukipunguza idadi ya mapato alafu uongoze ya bajeti ndio na nyie bajeti yenu itaongezeka
Alafu ukumbuke tumetenga ksh 600B kw ajili ya ku service loan, kwanza naskia deni la taifa tz limefikia tsh71trillion
Unataka kulinganisha maisha ya US na Bongo sasa? ๐Sio bure Black Americans are popping in caravans ๐ ๐ ๐
Hii standalone mansion Tanzania anaipata kwa 1 bedroom LA price, kwanini wasije?
Watanzania pia mnasifiwa kwa kujenga mijengo ya adabu
View attachment 1815052View attachment 1815054View attachment 1815058View attachment 1815059View attachment 1815060View attachment 1815061View attachment 1815063View attachment 1815064View attachment 1815065View attachment 1815066
Mbona imekaa kama shuleSio bure Black Americans are popping in caravans ๐ ๐ ๐
Hii standalone mansion Tanzania anaipata kwa 1 bedroom LA price, kwanini wasije?
Watanzania pia mnasifiwa kwa kujenga mijengo ya adabu
View attachment 1815052View attachment 1815054View attachment 1815058View attachment 1815059View attachment 1815060View attachment 1815061View attachment 1815063View attachment 1815064View attachment 1815065View attachment 1815066