Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama hizo ni nyumba za maskini wa Dar bado unachodhitisha ni kwba Dar Ni mji wa masijini kwa sababu hizo nyumba za uswazi ziko kila mahali Dar. Kuna video Fulani niliona ya Oysterbay pembeni ni nyumba za uswazi tupu
Ndio maana mzungu hakuoata slum dar alaf akapata za dunia nzima šŸ˜…šŸ˜…šŸ˜… yani maskini wa dar ana maisha mazuri mara 200 kuliko maskini wa nirobi n hilo liko wazi haliitaji ramli mbona
 
Leta ujinga natupia picha yako nyingine ya FB ss hivi km unabisha jaribu uone
Eti uniexpose? šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ what do you know about me that you want to 'expose'? My family? My extramarital affairs? My businesses, my income? What exactly? šŸ˜‚
 
Kiswahili ndio lugha mama ya tanzania na kiingereza ni lugha mama ya uingereza 🤣🤣 tatizo lenu nyinyi munahusi kuongea kiingereza cha mzungu ndio kuelimika, tukuzeni lugha yenu
Alokuambia Kiswahili ni lugha ya Tanzania ni nani? Je, waajua historia ya lugha ya Kiswahili?
 
Ndio maana mzungu hakuoata slum dar alaf akapata za dunia nzima šŸ˜…šŸ˜…šŸ˜… yani maskini wa dar ana maisha mazuri mara 200 kuliko maskini wa nirobi n hilo liko wazi haliitaji ramli mbona
Huyo mzungu wako ni mwerevu lakini huyu wangu ni mjinga, sivyo? šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚
Screenshot_20210515-122126~2.png
 
Welcome to the club danganyikaView attachment 1813640

i smell colonialism hapa! kwa hii taarifa tu unaweza kuona jinsi gani hawa IMF wamewacolonize mataifa ya Africa ili wapewe loans kipindi hiki cha corona.. mfano akina Uhunye kila mwezi wanatangaza curfews

napenda mama afanye ubabe kuwakataa, ase mbona patashimbika.. IMF wataibika.. ila dah sidhan mama ana ujasiri huo
 
Back
Top Bottom