Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wengi wa AAs wameshachoshwa na maisha ya huko Marekani na wengi wa savings kubwa ni kwamba walikua hawajui tu mambo mazuri ya Tanzania

Sasa unamkuta ana savings ya 90k$ au 200k$ akija nayo bongo ni mtu mwingine kabisa thus why wanakuja kwa wingi
Yani unataka na sisi tukuonyeshe watu wanao relocate kenya, manake point yako haieleweki
 
IMG_1623419025.172378.jpg
IMG_1623419033.176138.jpg


kenya
-55MW = $135mil = Tsh 310billions
Tanzania
-150MW = $157mil = Tsh 361billions
[emoji1493]‍♂️[emoji1493]‍♂️[emoji1493]‍♂️(wamepigwa cha juu tena na wachina walewale)
 
Unawajua hadi hao wahuni!??
Kamanda, DazMwalim, BwanaMisosi, Sister P, Queen Dareen, Chief wa Kiumbe, Fid q, AB skills, Joe Makini, Dully sykes, FeruziMrisho, Mwana FA, Ngwair, Zaharan, J-mo, Rich1, AfandeSele, DarScandle, Jaffaray, Doro, BerryBlack/white, Sumalee, MrBlue, TundaMan, HusseinMachozi, P Funk majani, SolidGroundFamily.. nawengine kibao tu! waliendagaapi. walikua machizi wangu ile mbaya!!💥💥
 
Back
Top Bottom