dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
Mpaka Sasa wanamlaumu Magu,Ngoja Tuone Sasa wamepewa uwanja watafute pesa,tutaona Kama Bado wataendelea kulala😬😬
nyinyi watanzania muwakubali aje wakimbizi, ilhali mliwakataa majirani zenu waburundi juzi walipokumbwa na machafuko,.I pray you survive in the next PEV Genocide coming out in Kenya.
You can alternatively relocate to Tz usikufe kwa kupigwa risasi na polisi au Kukatwa mapanga na Mungiki.
iliwabidi hao hao waburundi watorokee Isibania, kenya. angalau hapa kenya wakapata afueni (chakula na refugee camps toka GoK).
nyinyi mna roho chafu sana, magufooli kawa adaa na kuwa pumbaza eti tz imeendelea saaaaaana,.. hata msitake watu toka nje, especially waburundi na wacongolee. tu na imagine kama ingekua wakenya, mnge tu treat aje!?🤔




hiyo baiskeli tu ananunua Probox kwa msela wake