Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Heri inakopwa tukiona,Lakini si Kama Nyinyi mlivyo kopewa mkidanganywa Ni pesa za Ndani ,Donor Kantreeeeeh 🤑💩🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Leta evidence ya hiyo nchi iliyotukopa ikilalamika kwamba imetukopesha lkn tunasema ni yetu.
Hujashika🙉Namaanisha Makufuli alikopa na Mpaka Akafa Ndio mkajua kulikuwa na Deni💉💉💉💉Was it hard to read
 
🔥🇰🇪🔥🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Don't Joke
 
Ushai achwa kwa Hall pekee yako💉💉💉🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hello😆
 

DHIFA YA KITAIFA ILIYOANDALIWA NA RAIS SAMIA SULUSHU HASSAN IKULU JIJINI DAR ES SALAAM​

 
kenya budget=$34B.

OTHERS............
(Tz = $15.7B)
(Ug= $12.6B)
(Rw= $3.8B)
(Br= $0.87B)
(S.S= $1.6B)
____________
$34.57B
____________
Makadirio ya budget

Sasa ninyi muwe na budget ya 34b wakati hata pesa ya kulipa mshahara hamna, last fiscal year mlikua na budget ya 36b with 20b deficit 😅😅😅 so actual budget ilikua 16b na 13b ilikua whole loans 😂😂😂
 
kenya budget=$34B.

OTHERS............
(Tz = $15.7B)
(Ug= $12.6B)
(Rw= $3.8B)
(Br= $0.87B)
(S.S= $1.6B)
____________
$34.57B
____________
Kwenye statistics mbn unaweza sema Tz ni nchi isiyokuwepo lkn ukija ground ndio nchi yenye millionaires wengi EA, yn chukua Kenya+Uganda+Rwanda+Burundi na bado hamtufikii
 
Kijana wa 'California city' huu utopolo wako hautabadilsha huu ukweli
Usiniletee mimi makasiriko wakati English hamjui 😂😂😂

Screenshot_20210610-163054.png
 
Zanzibar inaenda kua independent state na Suluhu ambaye ni Mzanzibar atasaidia kwa hilo.

Tanganyika ikibaki na wajinga wote sababu Zanzibar ni ya wajanja, Kenya itacolonize Tanganyika kiuchumi na kila upeo wa maisha
Kenya labda imcolonize mama yako,bwege wewe,endelea kuota zanzibar kujitenga pambavu
 
Uganda wanapita Hawa mabongolalaz😆🙉💉💉💉💉
Only a failed state can do that foolish decision, yn kukopa mabilioni ya dollar ili ku finance budget ambayo pesa yote inaenda mfukoni mwa Kenyatta na genge lake, but u poor kenyans will still experience problem zile zile za ukosefu wa maji, ajira, chakula, makazi bora, huduma mbovu za afya, magonjwa ya mlipuko etc.
Our debt is sustainable,our revenue is double yours so is our gdp.Facts alone should deflate your ego coz last time l checked Ghana and Ivory Coast gdp overtook TZ gdp.Failed state!
 
Makadirio ya budget

Sasa ninyi muwe na budget ya 34b wakati hata pesa ya kulipa mshahara hamna, last fiscal year mlikua na budget ya 36b with 20b deficit 😅😅😅 so actual budget ilikua 16b na 13b ilikua whole loans 😂😂😂
last year 36b wapi!?.... na hii ndo imekua the largest budget yet.
uwivu wenu waTz tunawajua. mna wish sana mngeweza shida kenya.. lakini bado tu unakuta kenya iki wa dorminate kwa kila sekta..
(kuwa na gdp ×2 ya tz,.. uta expect kenyan dorminance kwa kila kitu.. si ajabu.
isikuje kama rude shock!. but was more than expected).. sawa kaka brasa! hope umenipata vyema
 
Back
Top Bottom