Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi nzima imejaa slums so which place in Nairobi are you talking about?
The biggest slum in Nairobi is this one. See how 'big' it us in relation to the rest of the surrounding areas
f03d66632af81f060fefcabe0ddbb48f.gif


Now compare and contrast with these dreamhouses that are everywhere you look
images(129).jpg

images(198).jpg
 
wacha blablabla Nyingi Taja mtu moja aliyetambulika internationally kwa masomo sanasana Hesabu,Kama,Dr Mukisa Kituyi,ambaye alikuwa secretary General wa (UNCTAD)United Nations Conference Trade And DevelopmentYani wacha tu
We fala nn mm nakutajia mtu aliye level moja na kina Newton, Gali leo, Einstein wewe unanitajia mtu aliyekariri mambo ambayo hata wewe unaweza
Screenshot_20210610-220830.jpg
 
i realy realy Hate! TANZANIA with passion . hope 'The Best 007'. amenisikiliza vizuri!
hakuna siku mtaweka miguu zangu pale! hawa watu wanajiona wako very special na hakuna kitu pale.. empty!. debe tupu
Inferiority complex zako pelekea mama Ngina.
 
Wakenya wengi walikuwa hawajui km tumewaacha kwenye mambo mengi sana but now they know na huwezi kuwadanganya tena
 
nilitaka kuuliza budget yao mwaka jana ilikuwa ngap.. kumbe ilikuwa kubwa na ya mwaka huu wamepunguza.. wataelendea kupunguza tu mpka pale panapotakiwa.. you cant have budget ambayo 60% huwez kuihudumua wew mwenyewe kwa mapato yako then unajisifia kwa budget kubwa.. huo ni uchoko.. hawa mwaka kesho watapunguza tu tena
Nafurahia jinsi mnavyosumbuka na mambo ya Kenya ambayo 90% hata hamyajui. Instead of consuming half-baked truth, you couldn't even do a simple Google search ndio ujue ukweli iko wapi?

Kenya's budget for 2020/2021 was Ksh2.84 trillion. This year's budget (2021/2022) is Ksh3.64 trillion. How is that a reduction in comparison to last year's budget? Vilaza nyie!
 
We fala nn mm nakutajia mtu aliye level moja na kina Newton, Gali leo, Einstein wewe unanitajia mtu aliyekariri mambo ambayo hata wewe unaweza View attachment 1814686
Ni Vizuri na sijakataa😃Lakini alipovumbua hivo aliendeleza uvumbuzi wake ama alirudi kulala,Minakutajia watu ambao walisoma mahesabu kisawasawa,Kama Obama alifanya Mahesabu zake mpaka akijipata Ikulu Amerika Ndani,can you do That?????Mwingine akavumbua Mpesa ambayo itasaidia wengi,Yani real life sio Blablabla nyingi😬😬😬
 
Tanzania ndiyo nchi pekee hapa Afrika kutoa new scientific fact na ikakubaliwa na wana science duniani koteView attachment 1814673
Hakuwa wa kwanza kujua ujue... 🤣🤣🤣
"The discovery and noted observations of it however originate in ancient times, having been common knowledge according to Aristotle during his time."
 
Hakuwa wa kwanza kujua ujue... 🤣🤣🤣
"The discovery and noted observations of it however originate in ancient times, having been common knowledge according to Aristotle during his time."
Kwani hujui kwamba kiingereza ni kizungumkuti kule? 😂 😂 😂 😂
How did you expect him to comprehend that?
 
Na mm nijibu ni kiasi gani huo mradi jubilee imeweka pesa ili huo mradi uitwe ppp yani mchina aweke pesa zake na bado ataweka toll zake do u think a single coin will go to ur government labda mchina awe mwehu nyinyi subirini mchina akamilishe mradi wake alaf pain mutakutana nayo pale toll for 30 good yrs
Kwn mchina barabara ameuziwa au ni kwake amekuja kujenga tu, sometimes buda we una matatizo.
Bwege kabisa
 
Ni Vizuri na sijakataaLakini alipovumbua hivo aliendeleza uvumbuzi wake ama alirudi kulala,Minakutajia watu ambao walisoma mahesabu kisawasawa,Kama Obama alifanya Mahesabu zake mpaka akijipata Ikulu Amerika Ndani,can you do That?????Mwingine akavumbua Mpesa ambayo itasaidia wengi,Yani real life sio Blablabla nyingi
Kabisa yani, hyo yake hta kwnye syllabus haipo
 
Back
Top Bottom