Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839



eti jamaa analiita buti la jeje



eti jamaa analiita buti la jeje
chief hao wote usiwadharau wamejenga nyumba zao kisumu na ushago ,,,wapo pale nairobi kibera kwaajili ya business ,,



Unadhani ni fashion show nipo? Wacha akili za kingese! 😎yaani jamaa ni mshamba sana hata kupangilia dressing code kinyamwezi hawezi,,,anavaa vaa tu kama kibaka
sawa designer,,,kama kupendeza ni fashion show pekee nitaacha...Unadhani ni fashion show nipo? Wacha akili za kingese!![]()
Hao pia kila mmoja ana Ghetto lake amejenga, nilskia Wabongo wote mnamaghetto yenyu? 😂 😂 😂chief hao wote usiwadharau wamejenga nyumba zao kisumu na ushago ,,,wapo pale nairobi kibera kwaajili ya business ,,
kuna mlevi mmoja kutoka kunya land alisikika akisema
Wewe kashone vitenge bhana, mimi na kupendeza, sijui fashion, sijui luku, wapi na wapi... Nliwaachia wabana pua hayo, siyawezi! 🤣 🤣 🤣sawa designer,,,kama kupendeza ni fashion show pekee nitaacha...
ila buti lako la jeje ni mambo moto..
ila kwa upande wa dressing code nimekupa 0%
umevurunda
Inafanana zizi la ngo'mbe😂😂wait hizi modern BRT station zikamilike muone venyemko nyuma😂😂Order at Kimara BRT bus Terminal
View attachment 1810112
View attachment 1810113
View attachment 1810114
View attachment 1810115
View attachment 1810116
You are just another zoa zoa!Vitu kwa ground ni different! 🙆🏾♂️ Bongo to the world!
View attachment 1810799
View attachment 1810800
View attachment 1810802
View attachment 1810803
View attachment 1810804
View attachment 1810805
View attachment 1810806
View attachment 1810807
View attachment 1810808
View attachment 1810809
Ukiskia concrete jungle ni vitu km hvo sasa, yani km uwanja wa "dhambi" vile

Mwenzako kakimbiaHuwezi kuona mana wewe mwenyewe lugha huijui![]()


Pole, lazma nizoe, sinaga huruma! 🤣You are just another zoa zoa!
Buti linakuhusia nini mzeeNimecheka sana wallahi yn Wakenya wakitaka kujionesha wana maisha mazuri lazima waumbuke mana wana fake hakuna mkenya hata mmoja amefanikiwa ktk hilo ukiacha Tony 254 ambaye yeye alionesha vyeti na kweli tulikubaliana naye, ila hawa wa kuonesha wana mali kumbe ushuzi mtupu huwa wanaaibika vibaya sana.
Tazama ilo buti la mtu aliyepanda business class, alafu angalia na kiti kilivyo cha ubabaishajiView attachment 1810538




Hehehe!!eti california cityAchana na huyo jamaa wa 'California city'
Yani jamaa hizi miaka zote ameishi akijua California ni jiji kule US!![]()
![]()


that is a 2017/18 Ford mustang but I can't tell which edition is ithili gari gan nimeshindwa kulijua haraka View attachment 1810832View attachment 1810829View attachment 1810830View attachment 1810831
Kshoneshe dera uvae basi we unayejua fashionsawa designer,,,kama kupendeza ni fashion show pekee nitaacha...
ila buti lako la jeje ni mambo moto..
ila kwa upande wa dressing code nimekupa 0%
umevurunda
Imekaa kama Ford Mustanghili gari gan nimeshindwa kulijua haraka View attachment 1810832View attachment 1810829View attachment 1810830View attachment 1810831