Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

leo jion nilipiga hizi nimesahau kupost
IMG_1623007700.781341.jpg
IMG_1623007711.087596.jpg
IMG_1623007719.739262.jpg
IMG_1623007728.243193.jpg
IMG_1623007738.233411.jpg
IMG_1623007746.837615.jpg
IMG_1623007755.791558.jpg
IMG_1623007765.447489.jpg
 
chief hao wote usiwadharau wamejenga nyumba zao kisumu na ushago ,,,wapo pale nairobi kibera kwaajili ya business ,,

kuna mlevi mmoja kutoka kunya land alisikika akisema
Hao pia kila mmoja ana Ghetto lake amejenga, nilskia Wabongo wote mnamaghetto yenyu? 😂 😂 😂
320px-Vendors_along_the_TAZARA_Railway_in_Zambia.jpg

Screenshot_20210602_101818.jpg
 
sawa designer,,,kama kupendeza ni fashion show pekee nitaacha...


ila buti lako la jeje ni mambo moto..

ila kwa upande wa dressing code nimekupa 0%
umevurunda
Wewe kashone vitenge bhana, mimi na kupendeza, sijui fashion, sijui luku, wapi na wapi... Nliwaachia wabana pua hayo, siyawezi! 🤣 🤣 🤣
 
Nimecheka sana wallahi yn Wakenya wakitaka kujionesha wana maisha mazuri lazima waumbuke mana wana fake hakuna mkenya hata mmoja amefanikiwa ktk hilo ukiacha Tony 254 ambaye yeye alionesha vyeti na kweli tulikubaliana naye, ila hawa wa kuonesha wana mali kumbe ushuzi mtupu huwa wanaaibika vibaya sana.

Tazama ilo buti la mtu aliyepanda business class, alafu angalia na kiti kilivyo cha ubabaishajiView attachment 1810538
Buti linakuhusia nini mzee
Kwhyo katengeza hapo ndio aje awaongopee wajinga..
Kila mtu ana uhuru wa kuvaa chochote we km umeumwa kafie mbele mzee
 
Back
Top Bottom