Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
Nambie dogo langu! 😁😁😁
Nambie dogo langu! 😁😁😁
Naona ni jipya ndani ya KLM business classKa hujui kitu bora unyamaze tu, hivi huoni buti jipya? Kula karoti hebu!![]()
![]()
![]()







Na sasa mumeenda kurudia makosa ya expressway yani miaka 30 aisee kweli ni mlevi tu anaeza kubaliHuna business mind wewe, mtu apandishe floors bila kuwa na uhakika kwamba atapata faida ikiwa sehemu hiyo? 😂 😂 😂 Wangekuwa na fikra ka zako wasingelijenga kamwe!
Yani akionekana kapanda ndege ndio atatushia amani 🤣🤣🤣
Hivi wasema haifanyi kazi? Ama tulikuwa tusiilete sababu wabongo wamesema ama? 😂Kwani SGR hamkulijua mwanzo 🤣👇👇
View attachment 1810714
Anza kwanza zile za Bukoba! 🤣 🤣 🤣
Inafanya kazi na hasara juu na haitalipa deni hata ipewe miaka 50 na yote aliyasema mchumi mmoja anaitwa dr ndii 🤣🤣🤣 na sasa maneno yake yametimiaHivi wasema haifanyi kazi? Ama tulikuwa tusiilete sababu wabongo wamesema ama? 😂
Acha ushamba mkuu, do your research, unaongea vitu sivielewi... 😂Yani akionekana kapanda ndege ndio atatushia amani 🤣🤣🤣
Vipi hapo, hamjambo? 🤣 🤣 🤣Inafanya kazi na hasara juu na haitalipa deni hata ipewe miaka 50 na yote aliyasema mchumi mmoja anaitwa dr ndii 🤣🤣🤣 na sasa maneno yake yametimia
Ndio nn hiii?? Inahusiana nn na mada niliokuuliza au ushaanza kuchanganyikiwa 🤣Vipi hapo, hamjambo? 🤣 🤣 🤣
View attachment 1810716
Leo nimecheka kwa nguvu sana mpaka nimeulizwa kwann nacheka 😂😂😂Acha ushamba mkuu, do your research, unaongea vitu sivielewi... 😂
Hivi hawa mbn wanavituko sana duniani hapa, yn kila uozo upo Kenya





Dalili nzuri kua dawa imepenya mbarambara! 🤣 🤣 🤣Leo nimecheka kwa nguvu sana mpaka nimeulizwa kwann nacheka 😂😂😂
Nikisema mm unanichukia 🤣🤣🤣👇👇Vipi hapo, hamjambo? 🤣 🤣 🤣
View attachment 1810716
Kwamba buti la jamaa ni jipya 😅😅😅Dalili nzuri kua dawa imepenya mbarambara! 🤣 🤣 🤣
Ni dawa za hasara hasara nakupa tu, yaani mnajifanya 'wagwana' wakati mnaibiwa kweupe, dadeq!!! 🤣 🤣 🤣 🤣Ndio nn hiii?? Inahusiana nn na mada niliokuuliza au ushaanza kuchanganyikiwa 🤣
Wanamaisha ya maigizo kila sector mpaka wizara kenya zimeoza hakuna sector hata moja hua inafanya vzr 🤣🤣🤣🤣 hio treni ina haki zote za msingi kuunguaHivi hawa mbn wanavituko sana duniani hapa, yn kila uozo upo Kenya![]()
Iliisha hiyo... Leta issue zingine sasa, au bado buti lakutekerenya!? 🤣 🤣 🤣Kwamba buti la jamaa ni jipya 😅😅😅