Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huna business mind wewe, mtu apandishe floors bila kuwa na uhakika kwamba atapata faida ikiwa sehemu hiyo? 😂 😂 😂 Wangekuwa na fikra ka zako wasingelijenga kamwe!
Na sasa mumeenda kurudia makosa ya expressway yani miaka 30 aisee kweli ni mlevi tu anaeza kubali
 
Hivi wasema haifanyi kazi? Ama tulikuwa tusiilete sababu wabongo wamesema ama? 😂
Inafanya kazi na hasara juu na haitalipa deni hata ipewe miaka 50 na yote aliyasema mchumi mmoja anaitwa dr ndii 🤣🤣🤣 na sasa maneno yake yametimia
 
Inafanya kazi na hasara juu na haitalipa deni hata ipewe miaka 50 na yote aliyasema mchumi mmoja anaitwa dr ndii 🤣🤣🤣 na sasa maneno yake yametimia
Vipi hapo, hamjambo? 🤣 🤣 🤣
IMG_20210604_111021.png
 
Back
Top Bottom