ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Hio ndio dawa ya hasara porojo za mpuuzi kama wewe 🤣🤣🤣🤣Ni dawa za hasara hasara nakupa tu, yaani mnajifanya 'wagwana' wakati mnaibiwa kweupe, dadeq!!! 🤣 🤣 🤣 🤣
hebu tuangalie hii👇👇👇
Hio ndio dawa ya hasara porojo za mpuuzi kama wewe 🤣🤣🤣🤣Ni dawa za hasara hasara nakupa tu, yaani mnajifanya 'wagwana' wakati mnaibiwa kweupe, dadeq!!! 🤣 🤣 🤣 🤣
Hii hapa mpya na ya moto kabisa 🤣👇👇Iliisha hiyo... Leta issue zingine sasa, au bado buti lakutekerenya!? 🤣 🤣 🤣
Nikisema mm unanichukia 🤣🤣🤣👇👇
Wapi tofauti? Au hii ya umeme? 👇
🤣🤣🤣🤣 nchi imekwisha tayar wacha sasa mchina achukue project kubw kubwa atengeze pesa na kuwapa maumivu zaidiwanaenda kukoba $8.3 bln ku-finance budget!
Umenitupa kuleee, si mchoro huu? 😂 😂Wapi tofauti?
![]()
Sasa huu ndio mtambo wa kazi, unabeba mizigo usipime, ulitaka fast train zibebe mizigo??? Cheki forward hiyo, kibabe kabisa 👌Wapi tofauti? Au hii ya umeme? 👇
![]()




Wewe 007, ni KE ama ME? 😂
Usinifuate fuate, utakula muhogo wa jang'ombe sasa hivi kudadadeki! 😬😬😬
Umepanic auUsinifuate fuate, utakula muhogo wa jang'ombe sasa hivi kudadadeki!![]()






Na panikishwa na nini sasa, mbona unaongea kimafumbo? 😂Umepanic au![]()
Vitu kwa ground ni different! 🙆🏾♂️ Bongo to the world!
yaani jamaa ni mshamba sana hata kupangilia dressing code kinyamwezi hawezi,,,anavaa vaa tu kama kibaka