Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

2 yrs 1mth na 3yrs... Difference 9mths - sasa hapo kuna umbali gani, wacha kuwa fala fala saa zingine, waambie wakuekee hadi ghetto kwako basi, boya kweli! 😬😬😬🤣🤣🤣🤣🤣
Arusha imepata traffic light ya kwanza 2008 ni miaka 13 ww unazungumza nn wewe🤣🤣 haya mambo munayofanya leo kisumu kwetu yalishafanyika miaka kenda na hata tulishayasahau kabisa 😁😁😁
0E394345-2323-46A4-9BFA-D30D3CDDC3B4.jpeg
 
Arusha imepata traffic light ya kwanza 2008 ni miaka 13 ww unazungumza nn wewe🤣🤣 haya mambo munayofanya leo kisumu kwetu yalishafanyika miaka kenda na hata tulishayasahau kabisa 😁😁😁
View attachment 1810438
Hahaha, si ulisema miaka mitatu sahi umeruka tena, duh 💉 hiyo... 😂 😂 😂 Unazungumzia traffic lights za Kinjeketile Ngwale??? 😂
 
Najua watu ka nyinyi, level yangu ukifika labda ule kitiwatu kwa wingi... 😂 😂 😂 😂😂😂😂😂
View attachment 1810439
hivyo viatu tu vinaonyesha upo kwenye viti vya flight exhibition! Unavaa safety shoe kuingia business class kwa airline! Halafu hiko kiti kimebomoka ndo maana huoni nembo ya airline yoyote hii ina maana hakiko ndani ya airline 🤭 🤭
 
Arusha imepata traffic light ya kwanza 2008 ni miaka 13 ww unazungumza nn wewe🤣🤣 haya mambo munayofanya leo kisumu kwetu yalishafanyika miaka kenda na hata tulishayasahau kabisa 😁😁😁
View attachment 1810438
Hizo zote na bado mambo ni haya 👇👇
"The risk of being killed in a traffic crash in Tanzania proportionate to the number of vehicles on the road is 20-30 times higher than in the USA and many other countries."~ researchgate.net
🙆🏾‍♂️🙆🏾‍♂️🙆🏾‍♂️
 
Sasa unataka tushindane na wewe, kama elimu ni bure mbona CNN, BBC wana snatch media personalities from KE sana. Angalia hapo chini 👇 mlivyofeli big time, alafu ukumbuke sijamsahau yule MKALIMANI..! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
View attachment 1810247
View attachment 1810248
Kumbe shida inaanziaga huko chini! 👇
Utaanzaje kusoma kiingereza ukiingia form 1, yaani uanzishwe "A, E, I, O, U" na "A, B, C's"... This ain't right at all!
Screenshot_20210606_165421.jpg


Screenshot_20210606_170149.jpg
 
Magufuli alishawahi kusema kuna baadhi ya vitu havifai kuendeshwa na sekta binafsi, kwa mfano umeme ni huduma Ila tukiiachia sekta binafsi iendeshe maanayake itakua ni biashara, je watu wa kawaida wataweza kupata umeme Ili wajikwamue kimaisha.? Umeme,maji, usafiri wa treni, barabara, mabasi ya kubeba watu wengi kama BRT, hizi vitu hata duniani huko havimilikiwi na sekta binafsi since hizi ni huduma na sio biashara, hiv ni vitu vya lazima (basic needs) kwa kila mtu

Wao wamegeuza biasharaa uko kwao wakati inafaa iwe kama huduma kwa jamii
 
hivyo viatu tu vinaonyesha upo kwenye viti vya flight exhibition! Unavaa safety shoe kuingia business class kwa airline! Halafu hiko kiti kimebomoka ndo maana huoni nembo ya airline yoyote hii ina maana hakiko ndani ya airline
Nimecheka sana wallahi yn Wakenya wakitaka kujionesha wana maisha mazuri lazima waumbuke mana wana fake hakuna mkenya hata mmoja amefanikiwa ktk hilo ukiacha Tony 254 ambaye yeye alionesha vyeti na kweli tulikubaliana naye, ila hawa wa kuonesha wana mali kumbe ushuzi mtupu huwa wanaaibika vibaya sana.

Tazama ilo buti la mtu aliyepanda business class, alafu angalia na kiti kilivyo cha ubabaishaji
Screenshot_20210606-183550.jpg
 
Back
Top Bottom