🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Magufuli alishawahi kusema kuna baadhi ya vitu havifai kuendeshwa na sekta binafsi, kwa mfano umeme ni huduma Ila tukiiachia sekta binafsi iendeshe maanayake itakua ni biashara, je watu wa kawaida wataweza kupata umeme Ili wajikwamue kimaisha.? Umeme,maji, usafiri wa treni, barabara, mabasi ya kubeba watu wengi kama BRT, hizi vitu hata duniani huko havimilikiwi na sekta binafsi since hizi ni huduma na sio biashara, hiv ni vitu vya lazima (basic needs) kwa kila mtuAlafu kuna jitu kule linachekelea eti makampuni yao ya umeme yanatengeneza faida kubwa kuliko tanesco, wakati sis tunaangalia jinsi ya kumpunguzia mwananchi wa kawaida gharama za umeme wao wanaangalia jinsi ya kuongeza faida kwq kupandisha gharama za umeme
Ila we mkunya wa kingese unajiskia ushuzi unaojamba lakini .? 😂😂 Yanii huu uchafu ulinganishe na fumba with 500 luxurious houses.? How come.? Hebu nikutembelee kidogoView attachment 1807536View attachment 1807537. Unatoka wapi ujasiri wakutaja lami kwenye sentence moja na fumba town .?? We jamaa huwezi kuwa timamu . Ila we bwege akili za kuitaja fumba kwenye uchafu wenu ulizotoa wapi.?
Kuna shida kwani? 🤔😬Yaani Balozi wa Australia Kenya ana-promote mwanamziki wa Tanzania! Aisee inabidi "untalented ma-lazy" wa-protest!
Tony254
Duh, safi sana, hiyo pic ya kwanza imenikumbusha pahali kama hapo hapo ila sio KE 👌
Shukran kwa picha za upande👆👆, uhalisia ndo huu😆😆😆😆😆 utaskia sijui kijitonyama sijui morroco cbd.Hii huitaki 🤣🤣🤣👇👇👇 nani alikwambia inaitwa CBD, CBD ni moja tu jifunze kutafautisha vitu kabla hujapanua kinyampioView attachment 1810091View attachment 1810092View attachment 1810093
I&M... Long time kufika hapo, mitaa ya Muindi mbingu Street sio? ✌️
Alaf kuna mpumbavu alisema BBI haijakula pesa 🤣🤣🤣👇👇👇
😂Utaskia new cbd, manina 😁 😁 😁
View attachment 1809903
Unajua maana ya affordable wewe kilaza? 😂 😂 😂 Bwenyenye ataishi posh houses au apartments/units?Affordable housing zinazokaliwa na bwanyenyez
Serikali yao ilikataa kujenga nyumba ka hizo ili watu wanunue bei che, sahi anakula dawa 💉 tu from KE! 🤣 🤣 🤣Umekasirika mzee![]()
Ndo hiyo mzee 😁 😁 😁 😁Hii si ndio ile kijiko ya nyama
Rudia tena bila kulia🤣Dwarf and so basic, sio modern why? Mnakamuliwa miaka 30 sababu ya hiki kitu?
View attachment 1810005View attachment 1810006
Si kujifanya, wengi wetu tunajua lugha ya malkia vizuri hiyo yote imeletwa na masomo kuwa available for each and every child in KE old enough to start school. That's why karne hii utapata wakenya - CNN, Hollywood, EPL nk... Hiyo yote ni kuwa na kisomo na weledi wa kutumia hiyo lugha ya malkia.Wakenya wanajifanya wanajua lugha ya Malkia kumbe uozo mtupu![]()