Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
Buti la kazi mkuu, hapo hata miaka mitatu bado kiko sawa... 😂 😂 😂Nakubali hilo buti😂😂😂
Buti la kazi mkuu, hapo hata miaka mitatu bado kiko sawa... 😂 😂 😂Nakubali hilo buti😂😂😂
Hiyo mali unayoongelea iko wapi hapo? Ama wataka niwe Dangote? 😂 Acha uboya wewe, hivi mtu mwenye akili anaweza panda mwewe akiwa amevalia ka hivyo, huoni niko kazini, wacha utopolo, mwenzako Geza ashakueleza hapo juu. Acha perepere nyingi, ka umeenda shule ungekuwa unajua hiyo ni demo tu, changamka mtoto wa kiume! 🤣 🤣 🤣Nimecheka sana wallahi yn Wakenya wakitaka kujionesha wana maisha mazuri lazima waumbuke mana wana fake hakuna mkenya hata mmoja amefanikiwa ktk hilo ukiacha Tony 254 ambaye yeye alionesha vyeti na kweli tulikubaliana naye, ila hawa wa kuonesha wana mali kumbe ushuzi mtupu huwa wanaaibika vibaya sana.
Tazama ilo buti la mtu aliyepanda business class, alafu angalia na kiti kilivyo cha ubabaishajiView attachment 1810538
Hapana, nila afande Sele!😬😬😬
Washazoea open za kiswazi! 🤣 🤣 🤣Hilo buti la kiume , wanaume wa dar hamwezi elewa😂😂😂
Duh, kumbe kweli!
Kitu kinatoboa ndani ya national Park, safi kama kawa... 🔥🔥🔥kenya dup! (the 3rd largest econony in sub saharan africa) makwerekwere hatuwataki hapa View attachment 1810649View attachment 1810650View attachment 1810652
sio kwa ubaya,. lakini hebu tu niulizee...kenya dup! (the 3rd largest economy in sub saharan africa! only after nigeria and south africa).. makwerekwere hatuwataki hapa View attachment 1810649View attachment 1810650View attachment 1810652





. Yule mkulungwa wa First Class inaonekana alitembelea sijui flight training center la kq ye kaona kafly first class. Au ni afisa usalama wa OSHA
, maana kafunika na logo ya Tshirt itakua ina ujumbe hapo. Ila wakulungwa kama hiyo ni first class na ndege inaruka hiyo, first class hawekewi hata glass ya champagne, inflight magazine etc 



, angalia hiyo seat juu ya kichwa ilivyochafu na ianvyitoa manyoya.Nakwambia arusha ziko zaidi ya 7 na kisumu imefungwa moja 2019 may haya ongea kingine au unatafuta njia ya kutokea 🤣🤣🤣Tunaongelea Arusha, umesema tayari iko na moja, Ishaisha hiyo, nimejua sasa! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Alafu zazima zima huwa eti??? 😂
Ww una level gani 🤣🤣 haya oneni mwengine huyuNajua watu ka nyinyi, level yangu ukifika labda ule kitiwatu kwa wingi... 😂 😂 😂 😂😂😂😂😂
View attachment 1810439
Zaidi ya miaka mitatu maana yake ni over three years ngoja nitafute lugha ya kijaluo nikwambie kwa lugha hio omera 🤣🤣🤣Hahaha, si ulisema miaka mitatu sahi umeruka tena, duh 💉 hiyo... 😂 😂 😂 Unazungumzia traffic lights za Kinjeketile Ngwale??? 😂
🤣🤣🤣🤣🤣 hurumieni hao watu plzhivyo viatu tu vinaonyesha upo kwenye viti vya flight exhibition! Unavaa safety shoe kuingia business class kwa airline! Halafu hiko kiti kimebomoka ndo maana huoni nembo ya airline yoyote hii ina maana hakiko ndani ya airline 🤠ðŸ¤
Na hio filter imepigwa mara 100 🤣🤣🤣 lakini ngoma inakataa bado
Wacha kubadilisha kubali tu, haikuwa over... Sawa bhana 😬Zaidi ya miaka mitatu maana yake ni over three years ngoja nitafute lugha ya kijaluo nikwambie kwa lugha hio omera 🤣🤣🤣
Najua wataka nini, sio leo tafadhali... 😂 😂 😂Ww una level gani 🤣🤣 haya oneni mwengine huyu
Kwani muendesha kwenye expressway bure ?? Au mchina kuimiliki miaka 30 unafkiri maana yake nn??🤣🤣🤣 pain mutakutana nayo kweny toll za mchina mark my words na mutalia huko twitter am just waitingWhich pain are you talking about!?
Waambie wakuoneshe njia za makuru kayaba kama hukuona jahannam ya duniani🤣🤣Lami mpaka uswazi, Yombo-Machimbo iyo, DMDP project.View attachment 1810581View attachment 1810583View attachment 1810584View attachment 1810586View attachment 1810587View attachment 1810591
Tunashindania traffic lights, baki pekee yako, huo ni utoto sasa! 🤣 🤣 🤣Nakwambia arusha ziko zaidi ya 7 na kisumu imefungwa moja 2019 may haya ongea kingine au unatafuta njia ya kutokea 🤣🤣🤣
Anza kwanza zile za Bukoba! 🤣 🤣 🤣Waambie wakuoneshe njia za makuru kayaba kama hukuona jahannam ya duniani🤣🤣