kikihboy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,819
- 3,176
Hii ata kisii iko na skyline nzuri kuilikoHii mwanza si ndio ile tukaiumbua siku zile, bado sijasema au nitaleta ile aerial view sasa hivi jichoboy
Hii ata kisii iko na skyline nzuri kuilikoHii mwanza si ndio ile tukaiumbua siku zile, bado sijasema au nitaleta ile aerial view sasa hivi jichoboy
Hii si ile ile tu ilichapwa na Nakuru Jana😂😂
😂😂😂😂😂😂toa hii ya 1990,,Hii ndio CBD inafananishwa na dar 🤣🤣👇 sijui wanapata wapi nguvu hawa watu
View attachment 1809773
😂😂😂😂😂Hapo sawaKilimani
View attachment 1809625View attachment 1809630View attachment 1809637View attachment 1809639View attachment 1809653View attachment 1809657View attachment 1809660
Parklands
View attachment 1809663View attachment 1809664View attachment 1809674View attachment 1809675View attachment 1809682View attachment 1809687View attachment 1809689View attachment 1809690View attachment 1809691
Westlands
View attachment 1809694View attachment 1809701View attachment 1809702View attachment 1809717View attachment 1809726View attachment 1809727View attachment 1809728
Dar
View attachment 1809703View attachment 1809706
Nicxie nairobi kufikia density ya dar labda ile misitu iishe kwanza ambayo ni nusu ya area ya nairobi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] angalia umbali wa hio pic ilipopigwa kwanza View attachment 1809779View attachment 1809780View attachment 1809781
Affordable housing zinazokaliwa na bwanyenyezAffordable housing projects around Kenya! 🔥🔥🔥
View attachment 1807061
View attachment 1807062
View attachment 1807063
View attachment 1807064
View attachment 1807066
View attachment 1807068
View attachment 1807069
View attachment 1807070
View attachment 1807071
View attachment 1807073
View attachment 1807074
View attachment 1807075
View attachment 1807076
Wewe umesema tuu Msanvu bus terminal wenzako wangesema state of the art world class ultra modern bus terminal in MorogoroMsamvu bus terminal [emoji1241][emoji116][emoji116] kenya wangekwambia international airport
View attachment 1809803View attachment 1809804
Hii si ndio ile kijiko ya nyamaUtaskia new cbd, manina [emoji16] [emoji16] [emoji16]
View attachment 1809903
Umekasirika mzee[emoji1787][emoji1787]Affordable housing zinazokaliwa na bwanyenyez
Wakenya wanajifanya wanajua lugha ya Malkia kumbe uozo mtupu [emoji115]
Si eti tunajifanya, hyo ndio lugha inayotumika kutoa elimu sasa wewe km una lako sema..alafu uache wivu wa kike, mbona hko kwenu part two katika elimu yenu mnafundishwa kw kingereza, kutoshika kwenu basi imekua lawama kwetu..jilaumuni nyie na akili zenu, yani eti kidato cha kwanza mpka chuo kingereza lkn bado mtu anatoka mweupee hata kujisaidia hajui[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakenya wanajifanya wanajua lugha ya Malkia kumbe uozo mtupu [emoji115]
Wakenya wanajifanya wanajua lugha ya Malkia kumbe uozo mtupu [emoji115]
Kama ndio lugha inayotumika kufundishia huko kwenu na hujaona makosa kwenye hilo gazeti hapo basi elimu yenu ni nzuri sana [emoji23][emoji23][emoji23]Si eti tunajifanya, hyo ndio lugha inayotumika kutoa elimu sasa wewe km una lako sema..alafu uache wivu wa kike, mbona hko kwenu part two katika elimu yenu mnafundishwa kw kingereza, kutoshika kwenu basi imekua lawama kwetu..jilaumuni nyie na akili zenu, yani eti kidato cha kwanza mpka chuo kingereza lkn bado mtu anatoka mweupee hata kujisaidia hajui[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Is it pier pressure of peer pressure kumbe elimu ya kenya bure kabisaalafu kabla hatujasahau, hapo kakosea wapi ndio na sisi tujue km hujakurupuka