dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
😓😓Duh, kumbe kweli!
😓😓Duh, kumbe kweli!
Kwamba arusha ina traffic light nyingi zaidi ya kisumu na zipo 13yrs ago 🤣🤣🤣Wacha kubadilisha kubali tu, haikuwa over... Sawa bhana 😬
🤣🤣🤣🤣 nimecheka kwa sauti kubwa sanaNajua wataka nini, sio leo tafadhali... 😂 😂 😂
🤣🤣🤣🤣🤣 sinilikwambia unatafuta njia ya kutokea umeona sasaTunashindania traffic lights, baki pekee yako, huo ni utoto sasa! 🤣 🤣 🤣
Hzi hapa nimeanza 👇👇👇Anza kwanza zile za Bukoba! 🤣 🤣 🤣
Ekeni tu traffic lights, sisi ni floors tunapandisha! 😎🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sinilikwambia unatafuta njia ya kutokea umeona sasa
Munapandisha floors sehemu hazina mahitaj alaf mkuambiwa debt to GDP ratio iko 86% munaanza kulia🤣🤣🤣 alaf mbaya zaidi mchina ndio mjenzi wa hzo matofali overpass na flyover anawagaragaza kwenye bei na quality mbovuEkeni tu traffic lights, sisi ni floors tunapandisha! 😎🤣🤣🤣
Hzi hapa nimeanza 👇👇👇
So intention yako ilikuwa nn.Hiyo mali unayoongelea iko wapi hapo? Ama wataka niwe Dangote?Acha uboya wewe, hivi mtu mwenye akili anaweza panda mwewe akiwa amevalia ka hivyo, huoni niko kazini, wacha utopolo, mwenzako Geza ashakueleza hapo juu. Acha perepere nyingi, ka umeenda shule ungekuwa unajua hiyo ni demo tu, changamka mtoto wa kiume!
![]()
![]()
![]()
Hawa wakulungwa noma sana, wanfly First class, wanadrive Bugatti, wana mahela kama yote( Mapesa) sasa ku urgue na watu kama hawa ni shidaaaaa. Yule mkulungwa wa First Class inaonekana alitembelea sijui flight training center la kq ye kaona kafly first class. Au ni afisa usalama wa OSHA
, maana kafunika na logo ya Tshirt itakua ina ujumbe hapo. Ila wakulungwa kama hiyo ni first class na ndege inaruka hiyo, first class hawekewi hata glass ya champagne, inflight magazine etc
, angalia hiyo seat juu ya kichwa ilivyochafu na ianvyitoa manyoya.















Buti linahitaji kiinua mgongo limetumika mno 😅😅😅😅
Buti linapumua mbele 🤣🤣 utakuta soli ya kisigino imeisha , huyu lazma atakua dalai wa nyumbaButi linahitaji kiinua mgongo limetumika mno 😅😅😅😅
Huna business mind wewe, mtu apandishe floors bila kuwa na uhakika kwamba atapata faida ikiwa sehemu hiyo? 😂 😂 😂 Wangekuwa na fikra ka zako wasingelijenga kamwe!Munapandisha floors sehemu hazina mahitaj alaf mkuambiwa debt to GDP ratio iko 86% munaanza kulia🤣🤣🤣 alaf mbaya zaidi mchina ndio mjenzi wa hzo matofali overpass na flyover anawagaragaza kwenye bei na quality mbovu
Kwani SGR hamkulijua mwanzo 🤣👇👇Huna business mind wewe, mtu apandishe floors bila kuwa na uhakika kwamba atapata faida ikiwa sehemu hiyo? 😂 😂 😂 Wangekuwa na fikra ka zako wasingelijenga kamwe!
Mr. MabutiHuna business mind wewe, mtu apandishe floors bila kuwa na uhakika kwamba atapata faida ikiwa sehemu hiyo?![]()
![]()
Wangekuwa na fikra ka zako wasingelijenga kamwe!








Ka hujui kitu bora unyamaze tu, hivi huoni buti jipya? Kula karoti hebu! 🤣 🤣 🤣Buti linahitaji kiinua mgongo limetumika mno 😅😅😅😅