Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jibu swali alaf anza kulia sasa 🤣🤣🤣
Wana nyumba watoe wapi?? Ikiwa 2.5m people wako kibera na zile slums zingine wanaishi sokwe ama??🤣🤣🤣🤣

Ardhi kenya inashikiliwa na watu wachache sana na hili linajulikana dunia nzima hata kama utaficha aibu mm nikupe pole
Wacha nkuambie hivi😆 Mtu anaeza Toka Kisumu kwa Nyumba yake,alafu aende akomboe Nyumba Nairobi kwasababu ya Kazi.Hao unawaona Kibera wengi Ni Luos na Kwao Kisumu wamejenga Bungalows zao,Usithani KE Ni Kama TZ
 
Jibu swali alaf anza kulia sasa 🤣🤣🤣
Wana nyumba watoe wapi?? Ikiwa 2.5m people wako kibera na zile slums zingine wanaishi sokwe ama??🤣🤣🤣🤣

Ardhi kenya inashikiliwa na watu wachache sana na hili linajulikana dunia nzima hata kama utaficha aibu mm nikupe pole
Alafu ujue Watz wamejaa Huku Kenya Chochoro Zote wakiombaomba, stakudanganya you ain't special Bongolala.🤐Wacha nyamazie apo nsije nkaongea Kitu mbaya Jamani🙆
 
Jibu swali alaf anza kulia sasa 🤣🤣🤣
Wana nyumba watoe wapi?? Ikiwa 2.5m people wako kibera na zile slums zingine wanaishi sokwe ama??🤣🤣🤣🤣

Ardhi kenya inashikiliwa na watu wachache sana na hili linajulikana dunia nzima hata kama utaficha aibu mm nikupe pole
Mimi mwenyewe Nina Nyumba yangu Nakuru na Nimekomboa Nyumba Karen Nairobi kwasababu ya Biashara.If you ain't gonna start thinking like a Businessman you will be poor in your entire life.No wonder Kenya iko mbele yenu kwa kila kitu😏🤔
 
View attachment 1808058mandera town the town that was most under developed in north easter part of kenya now looking better than most towns in tanzania devolution (ugatuzi) in Kenya is bearing fruits
And this is with 15% of national revenue going to counties.
What about 35% proposed by BBI? Which is over 200% increase. Kenya will be on steroids.

~ Kenol-Sagana Highway
IMG_20210524_155341.jpg
 
Ss kama kumejaa wajinga Jf c uondoke kwn kuna ulazima gani kung'ang'ania humu? Ondokeni mkatengeneze platform yenu muwe mnaongelea njaa 24/7, cc wenyewe hatuwataki humu, ni shobo tu na kujipendekeza kwenu ndio kunawaweka humu usiku na mchana.
[emoji23][emoji23] MaguFOOLi was retarded kama Mobutu wa Gbadolite

Ata madikteta wengine wendawazimu zaidi ya Magufala kama Idi Amin hakujenga useless international airport kijiji kwao
E2TJHIQWUAIlf4P.jpg
 
Mm nakwambia wakenya ni vilaza wa akili wao wanahisi ukiweza rent bedsitter basi maisha umepatia 🤣🤣🤣 wamebakia kusifu estates za wenyewe na wanajulikana

alaf anakwambia yeye ananyumba ya urithi ushagoo alaf huyohuyo awe na ndoto ya kumiliki ardhi nairobi labda dunia ibadili njia
Kwa mtazamo wao kuhusu plan ya Dar basi hata california ni slum, sababu na yenyewe ina mpangilio kama Dar 😅😅😅😅

Tena Dar tumeizidi california sababu eneo lenye hii plan ni dogo sana

images - 2021-06-04T205106.297.jpeg
 
The Guy here agrees Nakuru city beats Arusha 🔥👏

kikihboy. god bless you so much! for bring forth this vid. please reserve it for future use. i only want to hear comments from these tanzanians... their's no way tz would ever beat kenya in anything!!
kachengkacheng, kim dawizzy, mwathadan, mashashola, capt Richie, komora096, nicxie, coco reborn.. hebu kujeni muone hii video
 
Wacha nkuambie hivi[emoji38] Mtu anaeza Toka Kisumu kwa Nyumba yake,alafu aende akomboe Nyumba Nairobi kwasababu ya Kazi.Hao unawaona Kibera wengi Ni Luos na Kwao Kisumu wamejenga Bungalows zao,Usithani KE Ni Kama TZ
Unaleta ukabila sasa eti wengi ni Luo dah
 
The Guy here agrees Nakuru city beats Arusha 🔥👏

Is Nakuru having any 5 star hotel or modern conference center or modern office space including international agency office space or modern travelling agencies aside serious industries? Mind u In Brewer, Pepsi SBC aside Tanelec n textiles (a to z, sunflag) not to forget most advanced lapidary industry in EA! N so many others!

Muache upumbavu find me a modern office like EAC Headquarters or AICC or NSSF offices first!

 
Back
Top Bottom