mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,517
- 5,124
nakuru is on another levelThe Guy here agrees Nakuru city beats Arusha [emoji91][emoji122]
nakuru is on another levelThe Guy here agrees Nakuru city beats Arusha [emoji91][emoji122]
Sio ukabila🙆 Kwani Ni Uongo Jameni,Na ujue usiwaone wanaishi Kibera eti unathani hawana Nyumba zao amabazo wamejenga,Kisumu Ndio wamejenga na Nairobi wamekomboa ili wafanye Biashara🤑Unaleta ukabila sasa eti wengi ni Luo dah
It is true, Kibera wengi ni Luo., liko wazi tu.., na kwao ni Nyanza, Nairobi ni hustle.,Unaleta ukabila sasa eti wengi ni Luo dah
Huyo ni kilaza siku zote 😂 😂 😂, wanadhani Kenya ni Tanzania, he is looking at Kenya through Tanzanian lenses., thus a skewed reasoning due to erroneous perspective.🍼 Nilikwambia usithani KE Ni TZ(Aka Bongo lala land) unathani eti mtu akikomboa Nyumba inamaanisha Hana Nyumba yake Ambayo amejenga,😆Watu wengi ambao wako Nairobi Wana Nyumba zao sehemu zingine,wamekomboa Nyumba Nairobi ili wafanye Biashara🙆🤐
Huu tunaita wivu wa kike usiokua na tijaJibu swali alaf anza kulia sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wana nyumba watoe wapi?? Ikiwa 2.5m people wako kibera na zile slums zingine wanaishi sokwe ama??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ardhi kenya inashikiliwa na watu wachache sana na hili linajulikana dunia nzima hata kama utaficha aibu mm nikupe pole
Umeanza kuchizika mzee, katafute daktariKwa mtazamo wao kuhusu plan ya Dar basi hata california ni slum, sababu na yenyewe ina mpangilio kama Dar [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tena Dar tumeizidi california sababu eneo lenye hii plan ni dogo sana
View attachment 1808577
Kwn kariakoo tukisema wengi wa pemba itakua tunaleta ukabila[emoji1787][emoji1787]Unaleta ukabila sasa eti wengi ni Luo dah
We mzee kweli uko na shida aisee, we tueleze kwanza outcome ya uchumi arusha tuje tulinganishe na nakuru acha kujizungusha hapa..Is Nakuru having any 5 star hotel or modern conference center or modern office space including international agency office space or modern travelling agencies aside serious industries? Mind u In Brewer, Pepsi SBC aside Tanelec n textiles (a to z, sunflag) not to forget most advanced lapidary industry in EA! N so many others!
Muache upumbavu find me a modern office like EAC Headquarters or AICC or NSSF offices first!
So what? unatakia Kenya mabaya, mnabaki fukara licha ya rasilmali, jiangalie kwanza., wivu na chuki ni mbaya, ni kama laana hivi 😂 😂 😂 halitatokea licha ya weather patterns.Njaa inaabisha hodi kwa jirani
![]()
Several parts of Kenya expected to be dry, sunny in June - Met
A few days are expected to be cold and chilly with afternoon, evening showers likely.www.the-star.co.ke
Kuna mtu leo wa msa lazima nimsopoe jf ila sitataja jina lake[emoji1787][emoji1787]Sio ukabila[emoji134] Kwani Ni Uongo Jameni,Na ujue usiwaone wanaishi Kibera eti unathani hawana Nyumba zao amabazo wamejenga,Kisumu Ndio wamejenga na Nairobi wamekomboa ili wafanye Biashara[emoji857]
Brt!????...stop joking my friendBRT infrastructure coming up along Thika roadView attachment 1807941
Icardi..dah huyo demu wake namkubali kinoma yan mtoto flani mzuuuuriPSG star akiwa Serengeti akila bataView attachment 1808004View attachment 1808005View attachment 1808006View attachment 1808007
Ili mradi tu washindane na Tanzania..wakunya ni wasanii sanaMumeona BRT hio 🤣🤣🤣🤣🤣 ila nimecheka kwa sauti kubwa sana
Mbona tuchinjane?Kwani mwakani mbali? Mtachinjana mpk Ikulu, Mwenyezi awaepushie ila kazi mnayo.
Si nimekwambia wakikosa kuja, mtalia hamna kazi za kufanya? 😂 😂 😂Kataa sasa uone 🤣🤣🤣🤣
Kariakoo ni kila mtu from all over Tz hatuna classes wala segregation kwetuKwn kariakoo tukisema wengi wa pemba itakua tunaleta ukabila[emoji1787][emoji1787]
We kweli boya sana, kibera si imejaa wajaluo wakifuatiwa na wanubi kwn uongo
Kweli hapo 😬Kenya?cha ajabu ni kwamba wao wako better kwenye kila kitu
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Nimewaambia ili tuendelee na huu mjadala walete picha za public facilities ambazo zina portray picha halisi ya mji wowote duniani. Wekeni picha za Nakuru Airport, Nakuru Bus Station, Nakuru market, Nakuru sports complex au Stadium, Nakuru Hospital hivi ni vitu muhimu kabla ya kuanza mjadala kuhusu kulinganisha Nakuru na miji ya TZ.We mzee kweli uko na shida aisee, we tueleze kwanza outcome ya uchumi arusha tuje tulinganishe na nakuru acha kujizungusha hapa..
Congested, yeah, lakini angalia size ya street roads, iko kubwa, incase of emergency hata gari kubwa lapenya humo vichochoroni!I choose this one,hizo sijapenda ziko too congested
Naona Dodoma nao wamecopy n pasteView attachment 1808331View attachment 1808333
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app