Dar es Salaam, Tanzania
Next Generation Office in Dar es Salaam
Tanzanian own and run, check this out Dar es Salaam is changing
Source : Osse Greca Sinare
Hizo sio BRT buses, hizo ni buses za Nairobi commuter railway.Si tuliambiwa Scania , mbona Yutong? Ama?
Ni nini cha kuniuma hapo wakati gated communities ni jambo la kawaida huku kwetu? Unasahau ni mfumo mnajifunza kutoka Kenya? Gated communities ziko hadi Eldoret kijana wa Tandale so wacha kutokwa na povu. Halafu si ni kweli mnaita vitu kama hizo 'estates'. Iweje leo mnafurahishwa na 'estate'hadi kuziposti?Najua kinachokuuma, pole sn utazoea tu, kuna ring road inakuja![]()
Smasher kama smasher. Smasher chai maharage. Haya magari yalitumikaga dsm early 90's huko
Canter kama canter 😀😀canter 2021😂😂
Subiri nipo njiani napitia kariadudu/kasabuni/kariobangi na korokocho tulinganishe maghetto Yao na ya home🙂🙂Kenya chafu kaka usione hawa wanapiga kelele humu wanaujua ukweli.
Kweli Sana mkuu😀😀Smasher kama smasher. Smasher chai maharage. Haya magari yalitumikaga dsm early 90's huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wala hatuiongelei humu, wakistuka itakuwa tunawaletea picha la kutisha kutoka Dodoma, kuna mmoja keshaanza kupagawa na Iyumbu wkt bado haijafika hata asilimia 30 ya itakavyokuwaPia kuna mradi mkubwa wa mji wa kiserikali Mtumba under construction
Dodoma kutadamshi sana.




Mnashikana uchawi ss, kwahiyo tumuamini nani? Kweli maneno kumi ya mkenya chukua moja ndo ulichunguzeHizo sio BRT buses, hizo ni buses za Nairobi commuter railway.



Una ulinzi kaka wala usijaliSubiri nipo njiani napitia kariadudu/kasabuni/kariobangi na korokocho tulinganishe maghetto Yao na ya home![]()





We don't care, as long as we still reign in many sports, that's what matters for now! Campeones para sempre! 😂Mungu atupe subra aisee muna safari ndefu sana 🤣🤣🤣🤣
Eti mwalimu wako wa geography ndio alivyokufindisha, 😂😂😂 kumbe huo upumbavu mnatiwa na walimu 😂😂 aah badilisheni waalimu sasa hao hawajui kitu na huyo mwalimu uskute aliambiwa na mwalimu wake😂😂hivo ndo waTz wataona coz miji zao kama zote hazina cbd/downtown... dar, tanga, zanzibari etc. hio nilijua thru' our geography teacher.
any city with a defined cbd.. (even new york included), you'll never miss to see such scenes.
NB: (arusha is the only town in tz with a defined cbd, the rest are scattered buccrab!)
Inferiority complex huwa inawasumbua sana watanzania. That place is so dry for anybody's liking to begin with.Wakenya oneni sisi watanzania jinsi elimu ilivyotusaidia, yn tumeachana na Dar na ss tunakuza mji mwingine ambao utakuwa mwiba Africa hii, usisahau kwamba Dodoma master plan yake ni km ya Toronto CanadaView attachment 1801828View attachment 1801829
Naombe bro Shebby01 apewe ulinzi wa kimkakatiUna ulinzi kaka wala usijali![]()
Maneno zote hizo ni kwasababu ya Iyumbu CityInferiority complex huwa inawasumbua sana watanzania. That place is so dry for anybody's liking to begin with.
Kama ni hiyo mfumo wa organised housing ndio inakupa nyege, mbona ni jambo la kawaida huku Kenya? Anyway, we understand coz you never find so many such organized residential areas in Tanzania. That's why you often refer to them as 'estates' whatever that means. It's such a normal thing here in Kenya











Kama Iyumbu City imekupa orgasm namna hii je ukiuona mji wa kiserikali Mtumba c utalia kabisaInferiority complex huwa inawasumbua sana watanzania. That place is so dry for anybody's liking to begin with.
Kama ni hiyo mfumo wa organised housing ndio inakupa nyege, mbona ni jambo la kawaida huku Kenya? Anyway, we understand coz you never find so many such organized residential areas in Tanzania. That's why you often refer to them as 'estates' whatever that means. It's such a normal thing here in Kenya








