Gwakagwaka
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 525
- 1,424
Kumbe ndio maana wote wanaona maisha ya kibera ni poa tu! Yaani mji wote ni takataka
Kumbe ndio maana wote wanaona maisha ya kibera ni poa tu! Yaani mji wote ni takataka
umeelewa nilichoandika? UK pamoja na kuwa na significant number of black British hamna a single billionaire mpaka mzawa wa Africa tena Zimbabwe!MO Dewji is slightly richer than him....
Tuliambiwa ni Scania na zinaundwa mombasaSi tuliambiwa Scania , mbona Yutong? Ama?



The bus you see in that photo was built in Mombasa, unlike your Golden Dragons imported from China.
You can't compare Golden Dragon buses to Scania - unless you know nothing about vehicles.
Usilinganishe Scania na Huo upuzi wenu kutoka China.
Hii safiiyumbu phase 1. Under construction & Complete. DODOMA
View attachment 1801694View attachment 1801696
Kumbe na wewe umemshtukiaHaaàaaa tajiri unatumiaga id nyingine . Halafu anazuga. Kuna id inakuaga kimya ukirudi kwenye id hii . Sawa bwana mahela aka the don au richest Kunyan in jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah aisee huu mji Magu kaupigania sn naona ss unachukua sura yake, so kwenye gated community Nairobi tutaiachia Dodoma co Dar tenaiyumbu phase 1. Under construction & Complete. DODOMA
View attachment 1801694View attachment 1801696





Hyo inaenda sanjari na Chang'ombe flyover.itakuwa inaendelea!
Wakenya waongo sana.Si tuliambiwa Scania , mbona Yutong? Ama?
Hebu nikiwa kama mwenyekiti nimejadiliana na Geza Ulole katibu mkuu kua The best 007 ukisaidiana Simon mutachukua kazi ya kuhakikisha ulinzi kwa Shebby01 tena uwe wa haraka tafadhal sana![]()







Kenya chafu kaka usione hawa wanapiga kelele humu wanaujua ukweli.Kumbe ndio maana wote wanaona maisha ya kibera ni poa tu! Yaani mji wote ni takataka
Mzee wa kuyafukua makaburi, cjui unazipataje hizi au na wewe ni mmoja kati ya mods humuTuliambiwa ni Scania na zinaundwa mombasa![]()























Wakenya oneni sisi watanzania jinsi elimu ilivyotusaidia, yn tumeachana na Dar na ss tunakuza mji mwingine ambao utakuwa mwiba Africa hii, usisahau kwamba Dodoma master plan yake ni km ya Toronto CanadaView attachment 1801828
Wakenya oneni sisi watanzania jinsi elimu ilivyotusaidia, yn tumeachana na Dar na ss tunakuza mji mwingine ambao utakuwa mwiba Africa hii, usisahau kwamba Dodoma master plan yake ni km ya Toronto CanadaView attachment 1801828View attachment 1801829
😁😁
Hizi pia ni 'eststes'as you people refer to anything that look's organised? Halafu hi ndio hali halisi ya Dodoma? Ni pakavu hivyo ama ni picha tu?iyumbu phase 1. Under construction & Complete. DODOMA
View attachment 1801694View attachment 1801696