Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Jamani tanzanians huyu ni tahira msiwe mnamjibu huyu 😂😂😂.. hakuna level zako humu ndani heb nenda kacheze unapochezagana wee ushawai nonga kwa kingereza ata siku moja!☝. masomo ya tz ni gushi. hauwezi fanya nayo Masters majuu coz haitambuliki. sio kama ya kenya.
kiswahili tumekolea.
kingereza tumekolea.
kenya sihami!..
. masomo ya tz ni gusshi. hauwezi fanya nayo Masters majuu coz haitambuliki. sio kama ya kenya.



