Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

am begging you tanzanians... please please shift from Socialist/Communists to Capitalists like us, if you want to be rich like us... mark you we were at par during independence, our shilling were at par.. lakini sahizi.. mnatuonea Viusasa..
ona, US, England, France, Germany are all Capitalists.. that's why they are very rich. but russia which was once a supepower even ahead of US, Ujamaa pulled it down to 3rd world
Mabibi na mabwana hawa ndio wale wakenya wanaojigamba kuwa wana elimu bora

Oneni kilichoandikwa hapa na huyu akili mgando.
 
Wewe kilaza kweli, Tanzania ni masikini kiwango hii kuona kitu mzuri, tena kwa wingi ni ya wanasiasa 😂😂😂., limasikini kweli😂😂😂., tokeni porini., sasa Eldoret mzima ni ya politicians because iko na organized residential sehemu nyingi tu😂😂😂😂😂 Mko pabaya, kumbe Magufuli hangewakomboa, pengine mama atajaribu., 😂😂😂😂
Hio kiwango ilipangwa na KBS ama??🤣🤣 tuoneshe organised residential bila estate leo mm nicheke 😂😂😂😂😂
 
Nimekuuliza swali je wasiponunua anafanya nn mwenye hio estate?? Jibu swali kwa kutumia akili nyingi sana tafadhal😅😅
Haitakosa kununuliwa, sio Kenya dogo😂😂😂😂, haijatokea bado..,na haitatokea., Na ikitokea benki inamiliki na kupinga mnada kwa sababu most investors wanatumia loan, na ni raiya wa Kenya., ukitaka jinyonge😂😂 na majority real estate businessmen sio wanasiasa ama familia za wanasiasa, ama bado utapinga kilaza?.,😂😂😂😂.,
 
1Ksh=21Tsh...........
1Usd=107Ksh.....
1Usd=2,319Tsh......
🤔🤔🤔🤔🤔
1Rand=7Ksh......
1Rand=170Tsh......
So kunyan uchumi wenu uko sawa na japan?thamani ya pesa na uchumi vitu viwili tofauti nyie nyang'au

Screenshot_20210526-221332_Chrome.jpg
 
😂😂😂😂😂., Unajua sehemu ambapo shamba za hawa hayati ziko kweli? 😂😂😂😝., nilikuambia wewe ni semi illiterate, naona ukishuka hadi illiterate sasa😝😂😂😂😂., Moi mkulima, Kenyatta shamba zake kubwa ziko sehemu za pwani na ni undeveloped 😂😂😂😂😂., unajaribu kulazimisha fikra zako lakini wapi., So all organized residential in Kiambu, Thika, Machakos, Arthi River, Kitengela ni za Moi na Kenyatta., Pia Eldoret, Kisumu, Mombasa, Kakamega😂😂😂😂., Unatia huruma na kuleta aibu😂😂😂.,
Shamba za hayati hebu zitaje ?? Unafkiri tanzania kuna umimi kama kwenu 😂😂 familia moja inamilikia ardhi ya kuweka wakenya 20million alaf wako hapa kushangilia
 
Ressoning yako ni ya kijinga sana. Hiyo forest iliyoko Karen ni gani? Hebu itaje kwa jina. Na hizo mashamba zinaitwaje ?
Huyo amefika Kenya amezurura Karen, wewe hujui hilo😂😂😂😂😂., anajua hakuna mkenya anaweza nunua nyumba kama si mwana siasa😂😂😂😂, heshimu huyu dogo semi illiterate 😂
 
Haitakosa kununuliwa, sio Kenya dogo😂😂😂😂, haijatokea bado..,na haitatokea., Na ikitokea benki inamiliki na kupinga mnada kwa sababu most investors wanatumia loan, na ni raiya wa Kenya., ukitaka jinyonge😂😂 na majority real estate businessmen sio wanasiasa ama familia za wanasiasa, ama bado utapinga kilaza?.,😂😂😂😂.,
Na wanaopanga waliweza kununua??🤣🤣 au hujui majority wame rent au unataka facts nijibu labda unashida na facts

mm huna chakunidanganya labda munichukie kisa naanika chupi zenu 🤣🤣
 
Huyo amefika Kenya amezurura Karen, wewe hujui hilo😂😂😂😂😂., anajua hakuna mkenya anaweza nunua nyumba kama si mwana siasa😂😂😂😂, heshimu huyu dogo semi illiterate 😂
Kwamba karen ni estates na wamikiki wa estates kenya wanajulikana sasa unataka nn tupige hesabu za ramli ama??🤣🤣🤣🤣 hasira ya nn budaa kama ndoto huna huna tu
 
Sasa ni wakati wakujionea modern electric railway in africa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Hio kiwango ilipangwa na KBS ama??🤣🤣 tuoneshe organised residential bila estate leo mm nicheke 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂Ona ulivyo fala😂😂😂., estate sio residential kwani😂😂😂😂., nyambaff am trying to reason with an idiot😂😂😂., lishamba., unajua maana ya estate kweli? Kenya tunajenga residentials in areas known as estates., na sio lazima nyumba zifanane kilaza, akili za kitanzania hizi ni ovyo kweli, eti nionyeshe residential bila estate,😂😂😂😂😂., Kenya ain't Tanzania or Uganda., mko na same characteristics na Uganda na Burundi.,
 
Kwamba karen ni estates na wamikiki wa estates kenya wanajulikana sasa unataka nn tupige hesabu za ramli ama??🤣🤣🤣🤣 hasira ya nn budaa kama ndoto huna huna tu
Ona hizi fikra😂😂😂😂., kumbe lishamba halijui maana ya estate ni nini, sasa nimegundia maana ya estate in Kenya sio maana ya estate in Tanzania., 😂😂😂😂.,
Estate Tanzania ni ya akina Diamond na wanasiasa😂😂😂😂., Poverty stricken nation😂😂😂
 
please and i still begg again and again..... hebu mushift frm Socialist/Communist (Ujamaa) to Capitalist (Ubinafsi).
hebu muone tu vile hizo systems mbili ilivyo separate hizi nchi mbili mara mbili kimaendeleo yani.. hii ni picha ya North Korea vs South Korea usiku kulingana na picha za NASA.. ona, vile Pyongyang ni ka dot tu, lakini south korea nayo!?..
👇👇
800px-Korean_Peninsula_at_night_from_space.jpg
 
am begging you tanzanians... please please shift from Socialist/Communists to Capitalists like us, if you want to be rich like us... mark you we were at par during independence, our shilling were at par.. lakini sahizi.. mnatuonea Viusasa..
ona, US, England, France, Germany are all Capitalists.. that's why they are very rich. but Russia which was once a superpower even ahead of US, Ujamaa pulled it down to 3rd world
Mnakama miaka 100 hv mfike mahali Russia wako leo so shut the x up
 
So kunyan uchumi wenu uko sawa na japan?thamani ya pesa na uchumi vitu viwili tofauti nyie nyang'au

View attachment 1798768
Hii response yako is a fallacy if I put it in context of your argument,
Na pia usiitaje Japan sentensi moja na Tanzania kwa vile hela yenyu haina value😝., keti chini nikufunze kidogo using layman language, Japan na China ni net exporting economies, so foreign exchange works in their profit margin, kwa hivyo wana devalue ama kuangusha their currency to benefit in international trade where dollar and other major currencies are used. Kwa Tanzania, pesa yenyu haina value not because nyie ni exporting economy, kwanza worse nyie ni net importers wa kubwa, ni ufukara, uzembe na ujamii ndio ili lead to inflation, pesa yenyu ikaporomoka in value, working to your disadvantage hadi wa leo.,
 
Back
Top Bottom